Wewe usinitafutie balaaa sikukuu hii!!!!
Hahahaha
Heeenh
Me nimesoma ila sijaelewa
Weee acha kabisa kumdhihaki huyo mtu tena ushindwe naulegeeee ikibidi upotee
Nashangaa unavyoshangaa
thank u mamaafacebook
i love you mwaa mwaa mwaa
hawa jamaa wana chuki binafsi tu kuna utafiti huyu ndio namba moja na Mr Rocky a.k.a msaga sumu
sikiliza nikwambie Honey Faith ujanja ni kupata sio kuwahi
thank u mamaafacebook
i love you mwaa mwaa mwaa
hawa jamaa wana chuki binafsi tu kuna utafiti huyu ndio namba moja na Mr Rocky a.k.a msaga sumu
sikiliza nikwambie Honey Faith ujanja ni kupata sio kuwahi
Honey Faith umeambiwa uachane na sisi, haya haina shida. MO11 na Sweet16 aachane na nani?? Nilisema wewe unahatari ukabisha....
Mbona kama umemind????
mimi nilikwambia huyu jamaa ana chuki na mimi tu usijali Honey Faith ni maendeleo madogo tu
Weee acha kabisa kumdhihaki huyo mtu tena ushindwe naulegeeee ikibidi upotee
thank u mamaafacebook
i love you mwaa mwaa mwaa
hawa jamaa wana chuki binafsi tu kuna utafiti huyu ndio namba moja na Mr Rocky a.k.a msaga sumu
sikiliza nikwambie Honey Faith ujanja ni kupata sio kuwahi
Tena huyu Mr Rocky ndomsaga sumu hasa anaonekana hata kwa macho ya kawaida bila kuzoom
Ahhha ungekua jeshin ungekua ushapigwa risasi
Ntawaona huko muendakoHashindwi na halegei mtu hapa mbona mamaafacebook unanitakia mabaya aise akishindwa na kulegea nanihii si nitaitwa jina jingine hapa
Ahhhhhhhhahhhhhha
Hakuna cha chuki binafsi we ile BMW anayotembelea Honey Faith ulijua imeshuka kwa miujiza au ilikuwaje
Mjukuuu wangu!!!
hasagi mtu sumu hapa ni mwendo wa kwenda mbele tuu
cc Honey Faith