Mjukuu Honey Faith hebu nieleze na ww mumeo n yup hapa mbona sielew
mamaafacebook anaweza kukuambia mume mmoja ila michepuko hata mmoija hatasema
Last edited by a moderator:
Mjukuu Honey Faith hebu nieleze na ww mumeo n yup hapa mbona sielew
mamaafacebook anaweza kukuambia mume mmoja ila michepuko hata mmoija hatasema
Mbona kama umemind????
Nishajibu tayari mamaafacebook
Lol wanaume nyie!!!
Na miss neddy je??
Kwan huyo utafiti skumuona mjukuu mekuuliza wewe mhusika
MO11 tatizo wewe umemjua Honey Faith juzi tuu wakati sisi tuko nae toka JF inaanza sasa sijui utasemaje
cc utafiti
salaam zangu za dhati kwanza zimfikie mume wangu mpendwa ..Nakupenda sana
baba paroko Kaizer na mpendwa katika bwana @C6
wifi zangu miss chagga Khantwe na ladyfurahia na wengine nisowajua
wadogo zangu miss neddy Heaven Sent Honey Faith..
kaka zangu muuza ubuyu Ntuzu spade4spade na wengineo
mashemeji zangu wote wakiongozwa na utafiti
my dear Rich Woman wherever you are..jua you are missed
na wale ma member tunaopishana nao kwenye usafiri wa umma nawaona wana log in na kucheka peke yao..iko siku nitaona username hata moja...
kwa members wote
i wish you a merry christmas and very happy new year
Mi kushea siwezi kabisa
Tumefanyaje??
Yupo, nimpe salamu?
Mwambie ni mimi ( utafiti )