Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 64
Bado sijauona huo "ujumbe mzito" unaodaiwa kuwepo kwenye "ndoto ya Mzee Mwanakijiji", au pengine "sina macho.." au "sijui maana..." lakini nimeelewa vizuri alivyoainisha mkuu Pundit, ambaye amekuwa na ujasiri wa kusema waziwazi wala si kwa gia ya "ndoto", kuhusu viongozi na nasaba zao wanavyojinufaisha.
Labda niseme hivi si makosa kwa Rais Kikwete kuwa shemeji yake Rostam Azizi, lakini kama ushemeji huo utamfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake kama Rais basi hapo ndipo hiyo hoja itakapokuwa na mashiko.
Naona umejijibu mwenyewe kwenye bold!