Hold on a minute! Mtu na shemeji yake

Hold on a minute! Mtu na shemeji yake

Bado sijauona huo "ujumbe mzito" unaodaiwa kuwepo kwenye "ndoto ya Mzee Mwanakijiji", au pengine "sina macho.." au "sijui maana..." lakini nimeelewa vizuri alivyoainisha mkuu Pundit, ambaye amekuwa na ujasiri wa kusema waziwazi wala si kwa gia ya "ndoto", kuhusu viongozi na nasaba zao wanavyojinufaisha.

Labda niseme hivi si makosa kwa Rais Kikwete kuwa shemeji yake Rostam Azizi, lakini kama ushemeji huo utamfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake kama Rais basi hapo ndipo hiyo hoja itakapokuwa na mashiko.

Naona umejijibu mwenyewe kwenye bold!
 
Kama huu undugunization unaoudai upo chadema ndio umesaidia kuwatia tumbo moto mafisadi na sasa wanalialia kama watoto mambo poa! Na inabidi wale wote wenye mawazo dhidi ya ufisadi wa ccm waoleane watoto na kuchangiana damu ili kuwe na undugu wa kudumu na kuendeleza vita kali dhidi ya mafisadi wa ccm!

Mie nna uhakika wewe ni mchaga, bisha kama unaweza!
 
mwanakijiji mbona umezunguka?

JK ni shemeji ya Rostam baada ya mkuu huyo kupata mtoto na dada yake Rostam na kimsingi alikuwa amuache Salma kabla tu ya Uchaguzi 2005. Ni kwa sababu hiyo udugu na urafiki wao umeunganishwa kwa damu. Hili linajulikana karibu na watu wengi tu waliokaribu.

Ukweli ni kuwa karibu wote hawa wameingiliana hadi inatisha. Kuna walio na watoto wasio wa waume zao, na wapo waliopeana watoto wao ili "kuunganisha" familia.

Ni kwa sababu hiyo itakuwa vigumu sana kwa mfano kufukuzana pale BoT, Usalama wa Taifa, au kwenye maeneo mengine nyeti.

Lakini kama wanafanya kazi zao vizuri, wewe kinakuuma nini?

asante.
 
OK naomba kueleweshwa yafuatayo:

1. Huo ushemeji kati ya Jakaya Kikwete na Rostam Azizi ukoje?

2. Je, huo ushemeji umemzuia vipi Kikwete kuwajibika kama Rais wa Tanzania, kama ni huo ushemeji ndio unaosababishwa ashindwe kuwajibika?

3. Je ni makosa kwa mashemeji, au hata ndugu kuwa kwenye siasa wakati mmoja na kuwa kwenye chama kimoja pamoja?

4. Je tunazo sheria zinazotulinda na mazingira yanayoweza kusababisha conflict of interests au muonekano wake?
 
hivi saa nyingine watu humu huwa wanabisha vitu kwa kuwa hawajua vitu au hawataki kuamini au ni kwa maslahi ya chama!!?? mi nashangaa sana! kama kitu hukijiu usibishe we uliza wanaojua facts waziweke hadharani.tena mada inabidi iwe iulize MTU NA MKWEWE!!?? kuna members humu nawajua wanajua hii ishu a-z, kwangu mimi siwezi kui-discuss(msimamo binafsi) kwa sababu huwa si-discuss such topix.To me private matters ningependa tuwaachie ziwe private.so, expect nothing more kwenye hili from me.(Never throw stones to your neighbours if you live in a glass house).
 
OK naomba kueleweshwa yafuatayo:

1. Huo ushemeji kati ya Jakaya Kikwete na Rostam Azizi ukoje?

2. Je, huo ushemeji umemzuia vipi Kikwete kuwajibika kama Rais wa Tanzania, kama ni huo ushemeji ndio unaosababishwa ashindwe kuwajibika?

3. Je ni makosa kwa mashemeji, au hata ndugu kuwa kwenye siasa wakati mmoja na kuwa kwenye chama kimoja pamoja?

4. Je tunazo sheria zinazotulinda na mazingira yanayoweza kusababisha conflict of interests au muonekano wake?

Ukianza na BoT na Richmond utakuwa umejibu swali lako namba 2
 
mwanakijiji mbona umezunguka?

JK ni shemeji ya Rostam baada ya mkuu huyo kupata mtoto na dada yake Rostam na kimsingi alikuwa amuache Salma kabla tu ya Uchaguzi 2005. Ni kwa sababu hiyo udugu na urafiki wao umeunganishwa kwa damu. Hili linajulikana karibu na watu wengi tu waliokaribu.

Ukweli ni kuwa karibu wote hawa wameingiliana hadi inatisha. Kuna walio na watoto wasio wa waume zao, na wapo waliopeana watoto wao ili "kuunganisha" familia.

Ni kwa sababu hiyo itakuwa vigumu sana kwa mfano kufukuzana pale BoT, Usalama wa Taifa, au kwenye maeneo mengine nyeti.

Lakini kama wanafanya kazi zao vizuri, wewe kinakuuma nini?

asante.

Haya piya yananikumbusha thread ya inayoishutumu chadema kwa udugunization au nyerere alikosea aliposema waTanzania wote ni ndugu? duhh!
 
Haya piya yananikumbusha thread ya inayoishutumu chadema kwa udugunization au nyerere alikosea aliposema waTanzania wote ni ndugu? duhh!

Naona utapasuka kwa hasira mwaka huu ....

Unakaribishwa:

walewenyevikoroshovyamoyonikwavilenyererehasemwisana.co.uuuuwii
 
KWAKO KADA MPINZANI!

Leo ndo nimethibitisha kuwa wewe ni kada mpinzani wa mazuri lakini mabaya kwako ni mazuri na ndo maana wadau wakipost treads zenye kujenga na kutetea maslahi ya Taifa hili we ndo wa kwanza kwa kupost comments zisizo na mvuto grow up dogo.
1- Threads inayosema Chenge jiuzulu mpaka sasa ina kurasa 10 lakini kwa sababu ameguswa mtu wako aaah umekaa kimyaaa.
Unatia aibu bwana mdogo.

FICHA UPUMBAVU WAKO USIFICHE BUSARA ZAKO.
 
KWAKO KADA MPINZANI!

Leo ndo nimethibitisha kuwa wewe ni kada mpinzani wa mazuri lakini mabaya kwako ni mazuri na ndo maana wadau wakipost treads zenye kujenga na kutetea maslahi ya Taifa hili we ndo wa kwanza kwa kupost comments zisizo na mvuto grow up dogo.
1- Threads inayosema Chenge jiuzulu mpaka sasa ina kurasa 10 lakini kwa sababu ameguswa mtu wako aaah umekaa kimyaaa.
Unatia aibu bwana mdogo.

FICHA UPUMBAVU WAKO USIFICHE HEKIMA ZAKO.
 
Mafisadi walioko madarakani wapo 11 tu na Dr Slaa alishawataja.Na hawa wote ni ndugu, jamaa na marafiki.Ubia wao ni kama utatu mtakatifu.
 
KWAKO KADA MPINZANI!

Leo ndo nimethibitisha kuwa wewe ni kada mpinzani wa mazuri lakini mabaya kwako ni mazuri na ndo maana wadau wakipost treads zenye kujenga na kutetea maslahi ya Taifa hili we ndo wa kwanza kwa kupost comments zisizo na mvuto grow up dogo.
1- Threads inayosema Chenge jiuzulu mpaka sasa ina kurasa 10 lakini kwa sababu ameguswa mtu wako aaah umekaa kimyaaa.
Unatia aibu bwana mdogo.

FICHA UPUMBAVU WAKO USIFICHE BUSARA ZAKO.


Waga asante sana kwa hili afadhali umeona na umesema mie nimekuwa nashangaa kila mara akisema ni mambo ya ulevi anyway akili za watu .
 
Jamani there is no need ya kuwalaumu sana Kada Mpinzania na Dar es salaam maana hawana jinsi hawawezi kuacha kutetea chama maana ibara ya 15:1 inawalazimisha kufanya hivyo hata kama chama kina makosa.
Lakini naona hali ni mbaya sana, siku wakisikia Mzee Mkjj amestaafu kupost hapa watafanya sherehe maana ni mwiba kwa upande wao ndo maana wanajalibu kumpa ID mbalimbali ili ionekane ni mtu mmoja mwenye chuki na CCM.
Tambwe Hizza yuko wapi jamani can help kwa hili maana anjua kazi yake kweli
 
Well, nimekuwa nikijiuliza ni kwanini wakati mwingine inakuwa vigumu sana kuchukuliana hatua serikalini na katika ngazi mbalimbali za uongozi wa Taifa letu. Mwanzoni nilidhani kinachowaunganisha ni maslahi yao ya kifedha na siri wanazotunziana.

Usiku wa leo nimeota ndoto ambayo kwa hakika ni mbaya. Tulikuwa tumesimama kwenye ufukwe wa bahari ya hindi tukishuhudia magari ya maharusi yakipita huku wakirekodi video. Mimi na wenzangu tusiohusiana na harusi hiyo tukajikuta tunarekodi video kwa kimbelembele chetu cha ndotoni.

Tulipokaa kuangalia mikanda hiyo ya video ndipo tulijikuta tunapigwa na butwaa.

a. hakukuwa na harusi moja bali zilikuwa ni nyingi
b. kuna baadhi ya watu walikuwa wanajirudia toka harusi moja (ambako alikuwa ni mkwe) na kwenda harusi nyingine (walikuwa mashemeji na wifi) na kuibuka kwenye harusi nyingine (ambako walikuwa ni maharusi).

Mwisho wa mkanda (pale penye "ze endi") maharusi wote wakajipanga mstari kupiga picha ya pamoja. Ndipo mmoja wao akainua bango linalosema "Now you know". Nilipoangalia waliosimaam katika kupiga picha naweza kusema ni "who is who" of Tanzania Political history and political dynasties...

Hata hivyo kati ya walionishtua ni ushemeji kati ya

Rostam Aziz na Jakaya Kikwete!!!

Sijui ni kweli kiasi gani au ndio "ndoto" tu..

OH PLEASE SASA TUMEANZA KULETEWA NDOTO ZA WATU BINAFSI HUMU!!!!
 
Ukianza na BoT na Richmond utakuwa umejibu swali lako namba 2

Sasa mbona hilo linaibua maswali mwengine kama:

Je, huu ushemeji kati ya JK na RA ndio uliowezesha na kufanikisha uchotaji BOT 2004 - 2005? Kama ndivyo, tusemeje kuhusu uchotaji wa kuanzia huko nyuma, usikute akina Mkono et al. nao mashemeji mtu pia? Au ushemeji na ukwe n.k. umekuwa ukitengenezwa miaka mingi kwa malengo haya? Kama ndivyo basi sisi siyo jamhuri tena, tumeshakuwa "Sultanate of Tanzania", na anayetawala sasa hivi ni Sultan Jakaya bin Mrisho bin Kikwete.

Kama sheria tunazo halafu hazitumiki basi tuna faida ya kuwa nazo kweli?
 
Kwa kweli mzee wa kijiji umechemsha maana masuala ya ushemeji hayana uhusiano wowowte na mafisadi wewe ungezungumuza ulilotaka kusema kwamba jk amemwchia ra kwa sababu ni shemeji yake
 
Sasa mbona hilo linaibua maswali mwengine kama:

Je, huu ushemeji kati ya JK na RA ndio uliowezesha na kufanikisha uchotaji BOT 2004 - 2005? Kama ndivyo, tusemeje kuhusu uchotaji wa kuanzia huko nyuma, usikute akina Mkono et al. nao mashemeji mtu pia? Au ushemeji na ukwe n.k. umekuwa ukitengenezwa miaka mingi kwa malengo haya? Kama ndivyo basi sisi siyo jamhuri tena, tumeshakuwa "Sultanate of Tanzania", na anayetawala sasa hivi ni Sultan Jakaya bin Mrisho bin Kikwete.

Kama sheria tunazo halafu hazitumiki basi tuna faida ya kuwa nazo kweli?

Subirini tu uone jinsi talaka zitakavyotembea baada ya watu kuanza kushutumiana mahakani wanakoelekea!
 
Maelezo ya Bi. Senti Hamsini hapo chini yamejitosheleza vizuri.

Kwa mtu asiyeona kasoro katika ushirikiano kati ya wahusika hao wawili na mambo yanavyokwenda ndani ya CCM na kwa Taifa letu kwa ujumla, nadhani atakuwa kidogo anayo makengeza, na nijuavyo mimi hapajapatikana dawa au upasuaji wa haraka wa kutibu hali kama hiyo.
 
Hivi kuna yeyote atayekwenda mahakamani kweli? I doubt it! Na hata wakienda itakuwa danganya toto tu!
Tatizo ninaloliona mimi hapa siyo ushemeji bali ni kiburi cha kudharau na/au kupuuzia sheria zetu, maana kama sheria zetu zingekuwa kweli zinafuatwa na vyombo vya dola viko makini hata awe shemeji au nani kaiba angekiona cha moto!
 
mwakilishi, hivi unajua kweli jinsi sheria zetu zilivyoshikamanishwa na ofisi ya Rais? Hivi kwanini hujajiuliza hadi Rais aseme wachunguze Benki Kuu ndio wanachunguza na hivi sasa hawawezi kumchunguza Chenge hadi Ikulu wakubali?
 
Back
Top Bottom