KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,150
- Thread starter
-
- #101
Jamani tusiharibu mshikamano wa wabunge. This is Unilateral Movement for Change. Ni vyama vyote tofauti baadaye. Nyumba moja kwa nini tupiganie tofari? Nawe uliyeweka uzi umekurukupuka. Unaparua donda linalopona! Sio ustaarabu. Control your hormone of jealousness.
Lakini zipo sahihi za wale mnaosemaga wameolewa na ccm pia msizisahau hizo,ndio maana nikasema hili sio la chama ni la wabunge bila kujali vyamaHata kama hoja ni ya makinda we dont care, hatuangalii rangi ya paka bt uwezo wake wa kukamata panya,,CCM wamesaini wangapi hapo mama???ingekuwa ni hoja ya bunge tungepata sahihi 245+,wale wa CCM waliokuwa wanatoka mapovu wako wapi???chezea na brain za vijana wewe,ukitoka povu tunakupa karatasi umwage sahihi,,,,,Kilango wapi?Ole Sendeka wapi???
Nashindwa kumwelewa mtoa mada kwanini anaendekeza siasa za vyama wakati tunajadili issue nyeti zinazohusu rasilimali zetu? Pesa zinazoibiwa ni za watanzania wote bila kujali vyama vyao, Tz tuna hasara kuwa na watu wasiothamini mali umma badala yake wanathamini vyama vyao na wamejaa wivu. Kwani hoja ikiwa imetolewa na mbunge wa chama chochote kwa maslahi ya taifa letu na chama hicho kikajivunia mbunge huyo hapo tatizo liko wapi? Labda wivu tu.
Mbona zitto hiyo posho hachukui ina maana yeye hajui hiyo sheria au ameonyesha kwa vitendo kwamba anasimamia anachokisema?Bila kujali alieanzisha hoja ni nani awe Lissu au zitto ukweli ni kwamba wote ni zao la chadema na ni watanzania kwa ujumla na ni wajibu wao kama wawakilishi wa wananchi.....na umeona katika wabunge wote zaidi mia tatu ni wabunge 48 tu wa chadema ndio waonaokubebesha mzigo wa kodi kwa kuchukua posho ambayo ipo kisheria na iliyopitishwa na wabunge wa ccm walio wengi bungeni.?
Mngesusia posho za kukaa kitako bungeni kama zitto ndio maneno yako yangekua na maanaKIM KARDASHInakuuma siyo, zitto na lissu ni wetu unaleta thread za kutugombanisha siyo!! kwa taarifa yako hatumpondi zitto wala cuf Kama ilivyo kuwa matarajiyo yako umeula wa chuya wewe gamba. Nenda kaomboleze huko tunavyo iteketeza mijizi yenu na mitumbo iliyojaa kodi zetu wenzako ritz na rejao wako chini ya meza
Lakini zipo sahihi za wale mnaosemaga wameolewa na ccm pia msizisahau hizo,ndio maana nikasema hili sio la chama ni la wabunge bila kujali vyama
Ni mapema sana kuonyeshana itikadi katika suala hili_nadhan wengi hawafaham kuwa hoja hii itakapopelekwa Bungen itahitaj kuungwa mkono kwa 50%_ivo utaona ni kiasi kikubwa cha wabunge watahitajika kuungana kwa pamoja desipite ya Vyama wanavyotoka, tukianza kuonyeshana ubabe na ujuaji ni wazi suala hili halitoungwa mkono kwa kiasi hicho. Nawasihi kuacha mwenendo huu kwasababu halitowasaidia ninyi wala Taifa.
Jamani tusiharibu mshikamano wa wabunge. This is Unilateral Movement for Change. Ni vyama vyote tofauti baadaye. Nyumba moja kwa nini tupiganie tofari? Nawe uliyeweka uzi umekurukupuka. Unaparua donda linalopona! Sio ustaarabu. Control your hormone of jealousness.
SO, HOJA YAKO NI IPI SASA? AU UMETUMWA? NAONA UMEKAA KIMAJUNGU-MAJUNGU, FITINA-FITINA HIV. Kwa hiyo unadhan Zito pekee yake anaweza kumtoa Pinda?. Katafute umaarufu kwingine kwasasa hili jambo ni la-watanzania waliochoshwa na madudu ya serikali. VIVA WAZALENDO.
Tatizo mimi huwa siku zote nasimamia kwenye kusema yale ambayo watu hawapendi kuyasikia lakini yapo,ndio mana nawatoa povu jingi,mi sijali povu la mtu kwa kuwa siko hapa ku win applause kama wengi wenu mlivyo,bali kuongea kile ambacho kipo lakini watu wamechagua kutopenda kukisikia
Mtoa mada, Naona anajaribu kuwa Alchemist, anataka kutengeneza dhahabu kutoka kwenye mchanga.
Hakuna Zitto (Mbunge) bila CHADEMA (Chama), ila kunaweza kuwa na Chama CHADEMA bila Mbunge Zitto. Huwezi kumtenganisha yeye na chama chake, haijalishi anafanya mambo ya aina gani, mazuri au mabaya.
Wewe mwenyewe umethibisha hili kwenye post yako, kwa nini unahusisha uchukuaji wa posho na chama cha CHADEMA? Au kwa sababu sio jambo zuri kisiasa?
Mabaya na mazuri ya wabunge wa CHADEMA ni ya CHADEMA.
...Hoja hii so ya chama chochote cha siasa, ni hoja kwa manufaa ya uwajibikaji ndani ya Serikali, na imepata nguvu kwa sababu ya mwelekeo wa Wabunge wa vyama vyote kuunga mkono hatua za kuwawajibisha Mawaziri...
...Mwenye akili yoyote na anayeiunga mkono hoja hii kwa manufaa ya mama Tanzania, hataihusisha kamwe hoja hii na chama chochote cha siasa, kwani kufanya hivyo ni kuwatenganisha wabunge na kupelekea kuiua hoja hii kabla haijakamilisha kusudio lake, na hii ni hekima...
...Zitto yupo juu ya siasa za vyama bungeni, na tunahitaji Wabunge wengi zaidi bungeni wanaoweza kusimamia maslahi ya nchi bila kujali manufaa ya vyama vyao, Ebu tumwache Zitto mwenyewe aseme....
LUKAZA: Hoja ya Zitto ya kutaka Waziri Mkuu Pinda apigiwe Kura ya Kutokuwa na Imani naye yakwama kutokana na kanuni za Bunge
...Amesema wabunge wa vyama vyote wamesaini ispokuwa UDP na kwamba, uongozi wa CUF umetoa maelekezo maalumu kwa wabunge wake kusaini.
...Zitto amesema hoja hiyo ni ya wabunge wote bila kujali itikadi za vyama na lengo ni kutengeneza Bunge la utendaji badala ya kulalamika.
Iwapo hoja hiyo itapitishwa na Bunge, Pinda atakuwa Waziri Mkuu wa kwanza kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye.
Zitto amesema kuwa wanatarajia kuwasilisha hoja hiyo kwa Spika wa Bunge, Jumatatu kwa ajili ya hatua zaidi....
Katika watu ambao hawatumii akili kufikiri KIMKARDASH ameongoza.
Hoja siku zote zinaanzishwa na mtu moja, sasa kinachotakiwa ni akina nani wanaiunga mkono.
Ndicho kilichotokea kwenye pendekezo la zitto, aliyetaka mbunge yeyote aliyekerwa na wizi ule kuweka sahihi ya kuwasilisha hoja kwa spika.
Sina hakika kama majina yaliyowekwa humu ndivyo yalivyo kwenye karatasi ya zitto, lakini la msingi ni kwamba hoja imeungwa mkono na wabunge wa pande zote.
Kuna shabiki mmoja wa Chadema anakaa maeneo ya Kimara anawambia jamaa zake kuwa Zitto katumwa na Slaa kupeleka hiyo hoja.
Lini niliwahi kuihusisha kauli ile ya kilevi na chadema,hebu ni quote mkuu,ni nyie kwa kuendekeza ukaskazini ndio mliiguza ile thread yangu kuwa ni mashambulizi yangu kwa chadema na wote mkaungana kunipinga kwa kuweka mbele ukaskazini,lakini mimi nilichosema mtei na jussa ni watu hatari sana na wanafaa kupuuzwa,usiniwekee maneno mdomoni please mzeeWEE KARDASH muda mrefu nakuona unaishabikia ccm bila fact bt kuishabikia ccm shurti uwe na akili ya maiti,hoja yako haina mashiko.mbona ulisemaga kauli ya MTEI ni ya chadema? Sasa zitto nae c chadema.what u expert there