Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 573
- 893
Nakuja kwenye hoja, nimeona na kusikia kuhusu unyanyasaji na ushamba wa madaraka kwa polisi wa Mikumi wakiongozwa na DTO wao.
Nimefatilia na kupewa habari za pale mikumi, wanakama raia hovyo, kubambikiwa kesi na wengine kukaa / kulala vituona kwa zaidi ya siku 3 bila huduma muhimu kama chakula na maji. DTO wa pale anakamata abiria waliozidi kwenye mabasi hata kama amezidi abiria mmoja, lengo ni zuri lakini usafiri wa usiku ni watabu hakuna raia anaependa kusimama kwenye mabasi wakati analipa nauli halai, nimeshuhudia Abiria wakishuswa mbugani usiku wa manane kusubiri kuvushwa na bodaboda, tusishangae watu kuliwa na simba kwa utashi wa mtu mmoja anaepbambania cheo, nimeshuhudia abiria wakiingizwa kwenye mabuti ya mabasi ili kuvuka mikumi, hiili ni tatizo kwa watu wenyetamaa ya vyeo na sifa.
Muheshimiwa IGP na RPC wa Morogoro hebubtiuondolee huyu msumbufu hapo mikumi, kama shida yake ni cheo akatafutie sehemu nyingine na sio mikumi sehemu hatari kwa anachokifanya, rushwa imezidi pale, pangua pangua watu pale, anazunguka na kagi kake kabovu (CARINA Ti ) ipo siku malori watamtupa mtaroni ndio atajua !!
Nimefatilia na kupewa habari za pale mikumi, wanakama raia hovyo, kubambikiwa kesi na wengine kukaa / kulala vituona kwa zaidi ya siku 3 bila huduma muhimu kama chakula na maji. DTO wa pale anakamata abiria waliozidi kwenye mabasi hata kama amezidi abiria mmoja, lengo ni zuri lakini usafiri wa usiku ni watabu hakuna raia anaependa kusimama kwenye mabasi wakati analipa nauli halai, nimeshuhudia Abiria wakishuswa mbugani usiku wa manane kusubiri kuvushwa na bodaboda, tusishangae watu kuliwa na simba kwa utashi wa mtu mmoja anaepbambania cheo, nimeshuhudia abiria wakiingizwa kwenye mabuti ya mabasi ili kuvuka mikumi, hiili ni tatizo kwa watu wenyetamaa ya vyeo na sifa.
Muheshimiwa IGP na RPC wa Morogoro hebubtiuondolee huyu msumbufu hapo mikumi, kama shida yake ni cheo akatafutie sehemu nyingine na sio mikumi sehemu hatari kwa anachokifanya, rushwa imezidi pale, pangua pangua watu pale, anazunguka na kagi kake kabovu (CARINA Ti ) ipo siku malori watamtupa mtaroni ndio atajua !!