Hodi hodi....wenyewe mpooooooooo?????????

Hodi hodi....wenyewe mpooooooooo?????????

huu sasa umbea,ya Lizzy yametoka wapi?
Aaah samahani sana Bishanga ina maana unadhani Lizy ni mmoja tu?
Sikumaanisha Eliza wa Tegeta......nilimaanisha Lizy Unga LTD
Hahahaaaaa unawapenda majina ya Eliza eeeeeh lol
Uko juu sana
Naona ni Eliza mwanzo mwisho....
Yupo mwingine kuleeeeeee Kibosho ukimalizana na hao
 
Aaah samahani sana Bishanga ina maana unadhani Lizy ni mmoja tu?
Sikumaanisha Eliza wa Tegeta......nilimaanisha Lizy Unga LTD
Hahahaaaaa unawapenda majina ya Eliza eeeeeh lol
Uko juu sana
Naona ni Eliza mwanzo mwisho....
Yupo mwingine kuleeeeeee Kibosho ukimalizana na hao
nyie mchokozeni tu Lizzy,akiwainukia mi simo mtajiju.Hivi hamjui toka jana anapiga chabo hapa? mi namgwaya ka nini!
 
hivi ulivyokuwa kwenye ban Paw alikufanya nini ?
Hahahahaaaa hebu dokeza Kongosho alifanywa nini na PAW...
Halafu siku hizi Konny kule kwenye jukwaa fulani hakanyagi kabisaaaaaaaa
 
nyie mchokozeni tu Lizzy,akiwainukia mi simo mtajiju.Hivi hamjui toka jana anapiga chabo hapa? mi namgwaya ka nini!
Teh kwani atatuibukia sisi au wewe unayezungukazunguka Unga LTD?
Teh habari ya Unga LTD? Umepaonaje? Umeenjoy eeeh
 
embu nijuze binti mtambuzi,konnie ni SHE?
Huyu mtu haeleweki ila mie alikua mke mwenzangu wakati tunashea mume(Rejao) ndio mpaka sasa na muita x-mke mwenza maana alipokua na Rejao alikua mwanamke na sehemu zingine wengine wanasema ni mwanaume so kila mtu ana namna yake kwa Konie kulingana na mahusiano,

Kwa habari kamili mulize Babu ODM.
 
Mkuu makazi nimehamishia leo kwa sababu maalum za kitaifa.poleni kwa moto.ngoja nijipange kisha nikutafuteni,si unajua kuwa na blanketi chapa binadamu ndo muhimu kwanza?


hhahahaha sas aulikuwa na nani kati ya wengi hapa mjini? afu uwe unaongea na wazee kwanza usije ukanywa maji kwenye visima vyao ikawa tabu
 
Hahahahaaaa hebu dokeza Kongosho alifanywa nini na PAW...
Halafu siku hizi Konny kule kwenye jukwaa fulani hakanyagi kabisaaaaaaaa

Wahaya wana msemo...'embwa keba etakaile mkila teluga mwijiko'....meaning mbwa asipoungua mkia huwa hatoki jikoni....hahaha konnie hasubutu kukanyaga hizo sehemu sehemu.....la alifanywa nini huko najua lakini chichemi!
 
Huyu mtu haeleweki ila mie alikua mke mwenzangu wakati tunashea mume(Rejao) ndio mpaka sasa na muita x-mke mwenza maana alipokua na Rejao alikua mwanamke na sehemu zingine wengine wanasema ni mwanaume so kila mtu ana namna yake kwa Konie kulingana na mahusiano,

Kwa habari kamili mulize Babu ODM.
Odm....odm......odm........kidumu chama cha odiemmmmmmmmm!!!!!
 
hhahahaha sas aulikuwa na nani kati ya wengi hapa mjini? afu uwe unaongea na wazee kwanza usije ukanywa maji kwenye visima vyao ikawa tabu

Kuna advance party ilitangulia kunisafishia njia mkuu,usihofu.
Si unaona kimya toka jana mtu flan hajaonekana jf?
 
Back
Top Bottom