Dah afadhali...ukija A-Town ntaongea na Rejao nikusaidie Hifadhi ila tu Amyner asilete noma maana panaweza pasitoshe watakapoamua kuunda timu yao mpya na Rejao....Umetisha Bishanga lol,na mie niko kwenye mchakato wa kuhamia Atown lol!nikishachagua mtaa ntakutafuta tajiri la kihaya c unajua mme wangu ni papaa so kapan ya tajiri ndio mwake!
We dogo unamzungumzia Eliza wa Tegeta?Habari ya kusikitisha ni kwamba hii thread inaonyesha tayari kuna mtu kashaumizwa moyo!! hivihivi kuna mtu umempiga chini??
Hivi bishanga ataweza ngumi kweli wakati kazeeka hadi mifupa yake imakubwa kama imebunguliwa na wadudu wa mahindi?
Akirusha ngumi anakuachia mkono mzima.
Afu usimuone, ngozi inavutika kama jojo.
Hujambo lakini?
Hahahahaha!x mke mwenza kwa hili lzm unlipe,yani umenichekesha mpaka konda anaomba naye asome ajue nacheka nn!mbona wamtenda ivo bishanga lol!
Dah afadhali...ukija A-Town ntaongea na Rejao nikusaidie Hifadhi ila tu Amyner asilete noma maana panaweza pasitoshe watakapoamua kuunda timu yao mpya na Rejao....
Shem ww unavomjua mme wangu ni wa kuniacha mpaka nitafutiwe hifadhi jaman!Atown ana mahekalu ni ishu ya kuchagua mtaa tu!alafu shem kauli hizo ucje chezea makofi ya rejao alafu Amy akakutupia cha mbavu lol!
Bishanga plastik, hafai hata kwa skrepa.
We dogo unamzungumzia Eliza wa Tegeta?
Lol alishaachwa zamani sana..Bishanga ana kitu kipya kinaishi Unga LTD....Dah
mmmmmhhhhh????? Dadavua!
wivu tu unamsumbua konnie,alitaka nihamie kwake wakati hana makazi maalum(rejea profile yake)Hahahahaha!x mke mwenza kwa hili lzm unlipe,yani umenichekesha mpaka konda anaomba naye asome ajue nacheka nn!mbona wamtenda ivo bishanga lol!
Bishanga plastik, hafai hata kwa skrepa.
CAnta upo momie?
wivu tu unamsumbua konnie,alitaka nihamie kwake wakati hana makazi maalum(rejeq profile yake)