Hahahaaaa Bishanga umekamatika kwa mtoto wa Mjini.....yanakuhuuuu....mwone!!!!!!!!!!!!!!!!
B-52....location A TOWN....mmmmmhhhh bishanga ntapona kweli?
mkuu isije ikawa Unga ltd naingilia anga za watu!Embu nisaidie unitafutie taarifa za kiintelijensia kamanda!
we Konnie,acha ushakumpempe,kwani mi na B52 unafikiri tunaongelea nini?
kunani unga wa ltd?
una raha eh?nini kimekufurahisha?
nipo kwenye mchakato,stay tuned.
(actually jiandae u matron).
Ok pouwa ngoja ntakujulisha mida fulani ngoja niingie mitaa ya U Ltd kwa shemejiiiiiiiiiiii km kuna noma itanidi uhamie mtaa mmoja unaitwa Essomkuu isije ikawa Unga ltd naingilia anga za watu!Embu nisaidie unitafutie taarifa za kiintelijensia kamanda!
Dah kweli Konny mshakunaku....we Konnie,acha ushakumpempe,kwani mi na B52 unafikiri tunaongelea nini?