JS JF-Expert Member Sep 29, 2009 2,064 497 Dec 8, 2011 #1 Ingekuwa airport tunasachiwa kwa hisia namna hii pasingetosha kabisa..... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
JS JF-Expert Member Sep 29, 2009 2,064 497 Dec 8, 2011 Thread starter #3 kongosho said: Mmmh, ingekuwa raha zaidi Click to expand... Ungekubali Kongosho ufanyiwe namna hii?
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,076 Dec 8, 2011 #4 lakini jina la wimbo umejieleza kila kitu.Nalog off
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Dec 8, 2011 #5 Nadhani unaweza ukaachwa na ndege maana kusachiwa itachukua mda.
K Kifulambute JF-Expert Member May 8, 2011 2,539 755 Dec 8, 2011 #7 Aisee ninge check In kila dakika kumi
sijui nini JF-Expert Member Sep 29, 2010 2,553 1,285 Dec 8, 2011 #8 niliona heading ya thread imeandikwa mmmmh na mimi nikaguna mmmh kuna nini humu...?? nimefungua na kuona sasa nasema kweli hii ni mmmmh...!!
niliona heading ya thread imeandikwa mmmmh na mimi nikaguna mmmh kuna nini humu...?? nimefungua na kuona sasa nasema kweli hii ni mmmmh...!!