wiki hii sina vocha naomba laki tano ya vocha
ninayo chenji mkuuNgoja Nikupe Mimi Vipi Lakini Una Chenji Ya Milion?
Kina dada mkome kabisa tabia ya kupiga mizinga.hiyo no 2 ni kero na inazidi kukuwa kwa kasi sana!!
Wakaka jamani wenye hiyo hulka mkome!
Aiseeeeh! Mmmmmh!
Bado tu hii hujajibiwa!?
[5*] na wanaume wanaowadanganya wanaume wenzao wasiwape wapenzi wao pesa mkome tena mkome kabisa... uchoyo wenu uishie huko huko.
ha ha haha kwani wewe hupendi pesa? mi nazipenda sanaDuh! Mchagga utamjuwa tu, hata ingekuwa hujajiita miss chagga kwa hiyo comment ungejulikana kuwa ni mchagga tu.
Wewe si ndiye ulikuwa unanilazimasha nikutongoze!!?Aiseee!!!! Mmmmh!!!!
Hahahahahaha!!!!!
ha ha haha kwani wewe hupendi pesa? mi nazipenda sana
Wewe si ndiye ulikuwa unanilazimasha nikutongoze!!?
Pesa ni muhimu sana kuwa nazo lakini kuna njia zake nyingi sana za kuzipata kihalali kabisa. Sijawahi kuhongwa na mwanamme maisha yangu yote na wala haitatokea.
usituambie gozi liliokota dodo kwenye mchongoma!
Ila uwepo wako unahitajika sana humu pia,kutibu Maradhi ya Moyo na Utu!
Dogo naona unahamu nikuvuruge ili nipate ban, Halafu acha kabisa kudhani kila mtu mtoto mwenzio, ukiendelea kunifatafata nitakuvuruga ndani ya second 2 unaweza kuhisi umekanyagwa na buldoza, wewe endelea na ujinga wako.