,,,kwa biashara pesa mbele, inaelewekakwa wapenzi wanapata papuchi
Kwani nao wanataka wapewe bure ni salamu hii????? Sijamuona mwanaume wakumpiga kibomu tz hii.
Wew nawe nilikutafuta uongeze nyama sijui ulikuwa wapi?? Nimekuja kushtuta miss chagga katika ubora wake, nikasema loh!!! Niliisahauje!!!!
Nilikuwa kuprojekti, sasa wewe cha msingi hivyo unakisahauje!!!
Niliwaonea huruma tu, maana wangetapika nyonga na kwenda kulazwa hosp bureeeee.
Na yangewatoka hatari, maana hiyo kitu inawatoaga mishipa hatari
Uchoyo wa kitu gani?huwa inaniuma sana jinsi watu wanafundishwa uchoyo humu
Apologise lady binafsi nakukubali ila unaonekana umepanic why umetendwa nn?
[5*] na wanaume wanaowadanganya wanaume wenzao wasiwape wapenzi wao pesa mkome tena mkome kabisa... uchoyo wenu uishie huko huko.
,,,kwa biashara pesa mbele, inaeleweka