Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Yaani jukwaa limevamiwa na watoto basi ni tafrani tupu!! Mtu anakurupuka huko anachocomment unajua tu huyu kama kafikisha 15 ni bahati yake, wanakera hatari.

Yaani atoto mamito huyu mtoto kweli nitamvuruga, kama anamihemko ya kuvunja ungo basi nitakatuliza.

Kalinitukana j4 nikaamua kukaacha ila naona kanataka kunipanda kichwani.
 
Last edited by a moderator:
Yaani atoto mamito huyu mtoto kweli nitamvuruga, kama anamihemko ya kuvunja ungo basi nitakatuliza.

Kalinitukana j4 nikaamua kukaacha ila naona kanataka kunipanda kichwani.


Mie huwa navipuuza weee ila inafikia hatua inakera nareact, vipuuzi kweli yaani, wanadhani humu facebook, blalifakini'in my bibi'z voice.
 
Last edited by a moderator:
Dogo naona unahamu nikuvuruge ili nipate ban, Halafu acha kabisa kudhani kila mtu mtoto mwenzio, ukiendelea kunifatafata nitakuvuruga ndani ya second 2 unaweza kuhisi umekanyagwa na buldoza, wewe endelea na ujinga wako.
Mbona umepanic bila kupanikishwa?? Unalazimisha wanaume wakutongoze kwa nguvu!!?
 
Mbona umepanic bila kupanikishwa?? Unalazimisha wanaume wakutongoze kwa nguvu!!?

Hiv wew choko unataka umaarufu kupitia mim????
Wew kama unatafuta bwana humu tafuta kwa nafasi yako wapo, weka tangazo watakuja, nakuona unawashwa, mim ni mwanamke mwenzio siwez kukusaidi chochote.

Hebu pita, usiniletee ibilisi asubuh hii
 
Dogo naona unahamu nikuvuruge ili nipate ban, Halafu acha kabisa kudhani kila mtu mtoto mwenzio, ukiendelea kunifatafata nitakuvuruga ndani ya second 2 unaweza kuhisi umekanyagwa na buldoza, wewe endelea na ujinga wako.
Na wewe ukome kabisa kutongoza wanaime kinguvu. Demu gani unaganda wanaumu kama ruba. Wewe kama huuziki huuziki tu usilazimishwe kupendwa.
 
Hiv wew choko unataka umaarufu kupitia mim????
Wew kama unatafuta bwana humu tafuta kwa nafasi yako wapo, weka tangazo watakuja, nakuona unawashwa, mim ni mwanamke mwenzio siwez kukusaidi chochote.

Hebu pita, usiniletee ibilisi asubuh hii
Nilijua tu ndiyo sababu nikakupinga sana kwenye uzi wangu. Demu ukishakuwa na maneno ya shombo hivi nani atakupenda? Punguza mhemuko mwana dada mapenzi hayalazimishwiiiiiiii
 
Hiv wew choko unataka umaarufu kupitia mim????
Wew kama unatafuta bwana humu tafuta kwa nafasi yako wapo, weka tangazo watakuja, nakuona unawashwa, mim ni mwanamke mwenzio siwez kukusaidi chochote.

Hebu pita, usiniletee ibilisi asubuh hii

Mamiii, she is not worth yo time at all, let her be, plzzzzzzzz
 
Na wewe ukome kabisa kutongoza wanaime kinguvu. Demu gani unaganda wanaumu kama ruba. Wewe kama huuziki huuziki tu usilazimishwe kupendwa.

Hahahahaha!!! Nicheke mie. We mvulana au msichana???
Watakushangaa wanaonijua, siishi ki fake mim kama mpuuzi wewe usinae jua kutumia Fake Id unadhani unaweza kufanya kila kitu, kwa taarifa yako Unaposema Apologise Lady unamzungumzia mwanamke aliyeshibishwa mapenzi, mtoto kikojozi wew nikupeleke wapi mim??? Ongea yako inaonyesha hata form 4 bado, yaani ni kijogoo kinachojifunza kuwika, haya wika basi hata saa 4ucku.
 
Yaani atoto mamito huyu mtoto kweli nitamvuruga, kama anamihemko ya kuvunja ungo basi nitakatuliza.

Kalinitukana j4 nikaamua kukaacha ila naona kanataka kunipanda kichwani.

Mmeshindikana kujiuza mtaani mnaanza kutongoza wanaume kinguvu JF!! Ukiwa na tabia chafu hakuna mwanaume atakayekupenda. Badilika weweeee
 
Last edited by a moderator:
Nilijua tu ndiyo sababu nikakupinga sana kwenye uzi wangu. Demu ukishakuwa na maneno ya shombo hivi nani atakupenda? Punguza mhemuko mwana dada mapenzi hayalazimishwiiiiiiii

Dogo acha kuruka ruka kama umetoka kupu.,.wa kisogoni, ungekuwa umekamilika ungekuja kutongoza mitandaoni??? Huna akili wewe!!!!

Hebu pita kajambe huko fasbuku kwa watoto wenzio.
 
Hahahahaha!!! Nicheke mie. We mvulana au msichana???
Watakushangaa wanaonijua, siishi ki fake mim kama mpuuzi wewe usinae jua kutumia Fake Id unadhani unaweza kufanya kila kitu, kwa taarifa yako Unaposema Apologise Lady unamzungumzia mwanamke aliyeshibishwa mapenzi, mtoto kikojozi wew nikupeleke wapi mim??? Ongea yako inaonyesha hata form 4 bado, yaani ni kijogoo kinachojifunza kuwika, haya wika basi hata saa 4ucku.
Umepanic vibaya mno unaandika hata usiyoulizwa. Sijui nani kakuuliza kuhusu Id yako!! Kubali tu kuwa ulichemsha kutaka kunitongoza kwa nguvu. Na uache kabisa kuganda wanaume. Wewe huuziki kwa sababu unamdomo mchafu. Mwanamke mwenye kujiheshimu hawezi kuropoka shombo kama ufanyavyo wewe. Unauza papuchi kwa nguvu!!??
 
Mmeshindikana kujiuza mtaani mnaanza kutongoza wanaume kinguvu JF!! Ukiwa na tabia chafu hakuna mwanaume atakayekupenda. Badilika weweeee

Hivi wew **** unataka nin??? Unatafuta umaarufu kupitia jina langu eee??? Umechelewaa
 
Dogo acha kuruka ruka kama umetoka kupu.,.wa kisogoni, ungekuwa umekamilika ungekuja kutongoza mitandaoni??? Huna akili wewe!!!!

Hebu pita kajambe huko fasbuku kwa watoto wenzio.

Usinfekuwa unauza mpapuchi wako kwa nguvu usongetembelea uzi wangu. Acha hizo za kujitongozesha kinguvu wewee.
 
Umepanic vibaya mno unaandika hata usiyoulizwa. Sijui nani kakuuliza kuhusu Id yako!! Kubali tu kuwa ulichemsha kutaka kunitongoza kwa nguvu. Na uache kabisa kuganda wanaume. Wewe huuziki kwa sababu unamdomo mchafu. Mwanamke mwenye kujiheshimu hawezi kuropoka shombo kama ufanyavyo wewe. Unauza papuchi kwa nguvu!!??

Haya sawa nimekuelewa mke mwenzangu,


Basi hebu toka haraka kwenye uzi wangu na popote ukiniona pita mbali mita 50 mbele.

Wacha nitumikie taifa, sina muda wa kuja kukujibu wew ambae hata mb hadi uunganishwe unakuja kujibizana na wanawake watafutaji.
 
Hivi wew **** unataka nin??? Unatafuta umaarufu kupitia jina langu eee??? Umechelewaa
Utaabdika mitusi yoote uijuayo. Lakini ukweli wako nimekupa. Acha kulazimisha wanaume wakutongoze. Tabia yako chafu sana.
 
Stress za kukataliwa mchezo!! Nyuzi 3 za kusaka zote holaaaa, hahahaaaa anatafuta wa kumalizia stress zake, achana nae.

Umenionea wapi ibra87 namdai ujue.

Nimeachana nako, naona kanahasira ya watu kukakaushia.
IBRA 87 mdoga wangu yupo, ngoja nimwite akuje alipe deni.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom