Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Pesa Kwangu Haikauki Hivi Ushawahi kuona Bahari Ikikauka?


Sasa mbona huleti?

Pesa nilimpelekea kwake lakini nikakuta Viatu Vya Kiume mlangoni nikaamua Kugeuka na Pesa Yangu

khaaaaah! Vile ni viatu vyangu, we hujui siku hizi ni fashion kuvaa viatu vya kiume? Ona sasa ulivyo muoga.
 
Pesa nilimpelekea kwake lakini nikakuta Viatu Vya Kiume mlangoni nikaamua Kugeuka na Pesa Yangu

Heee!!! Kumbe! Afadhali mdogo wangu ulijirudia khaa!!!
atoto unataka kuniulia mdogo wangu wew?
 
Last edited by a moderator:
Pesa ni muhimu sana kuwa nazo lakini kuna njia zake nyingi sana za kuzipata kihalali kabisa. Sijawahi kuhongwa na mwanamme maisha yangu yote na wala haitatokea.
duh basi hongera sana mi natafuta kihalali na kuhongwa pia nataka aisee
 
duh basi hongera sana mi natafuta kihalali na kuhongwa pia nataka aisee

Wewe si mchagga, nnaelewa si hizo tu hata za haramu kwako sawa tu. Labda uwe si mchagga.

Hujakatiwa zako na akina Mbowe, walizojiuza?
 
Khaa!! Na tabia ya kuleta uzi mrefu wa kuponda wanaume TU nayo IKOME
 
Back
Top Bottom