Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Hizi tabia zikome huku MMU haraka

jaman wakaka tunanyanyaswa sana siku hizi:sad::sad::sad:
 
Auuuuuuwih!
Eka naku!
Ama kila mtu ajiunge upya na kitambulisho!!
 
[5*] na wanaume wanaowadanganya wanaume wenzao wasiwape wapenzi wao pesa mkome tena mkome kabisa... uchoyo wenu uishie huko huko.

Na mkome kuambizana twende tukamchune flan hela hatuziokot


Chagua loasaa
 
Sana ikizidi sana mwishowe huwa tatizo kubwa.
Kuna tabia ya kusingle ou kabila fulani.

Eti sijui wapare wana,,,,
Wachaga hawa,,,,
Wadigo wali,,,,
Wasukuma wata,,,,,

Hii tabia si zuri,
Isipokomeshwa,
Itakuja kuharibu nchi!
 
Back
Top Bottom