Hizi tabia hazivumiliki

Hizi tabia hazivumiliki

Half american anazingua mkuu..
Sasa mi kibao cha nazi cha nini ndani..
Kwanza mkuu mimi hata vyombo sina acheni mambo yenu..

Serious mi niwe na kibao cha nini mkuu wangu hata sijaoa umri huu niache kumiliki PS et nisumbuke na kibao cha kukunia nazi yaani nikae kabisa nianze kukuna nazi

Wakuu nitakichafua sasa hivi mi najiweza mjue.. hizi zarau ...
Mi kibao cha nazi cha nini kwanza...
Kosugi safari hii umekunya ninapokojoa ngoja am caming
🤔🤔🤔Broooo mie sio kosa langu aisee.
Naahidi sitolitamka neno kibao cha mbuzi tena🤐🤐🤐🤐🙌🙌🙌.
 
Pole sana mkuu, kuna mdau amesema uanzishe kilimo cha mboga mboga umuweke huyo shemeji yako naona ni wazo zuri, na kama akishindwa hapo unapata sababu ya kumfukuza akamsaidie mama yake kulima.
 
Huenda ni Mume mwenzio Kwa Jina la Shemeji..
 
Mke akiamka hakuna zaidi ya kukaa koridorni wakipiga stori habari za familia yao, na umbea wa kutosha.

Kuna Huyu kijana ana 35+ hana kazi, hataki kazi. Mama yao ni mkulima kijijini, akiteseka kwa ajili ya watoto watu wazima kama huyu, wavivu.

Chai inakuwa shida kuipata kwa wakati, kuna muda nalazimika kuingalia kati kwa maneno ya hekima kuhusu kucheleweshana kupata break fast au wakati mwingine naingia mwenyewe kuwaandalia watoto break fast na chai.

Kwa kuwa huwa namsifusifu huyu kijana mke anaona naona kawa kuwaona wakipoteza muda miezi na miezi kijana alipoteza muda nyumbani kwangu.

Kunakila dalili kuwa mama mkwe ameridhika sana Mimi kumlea mwanae wa kiume hapa kwangu..

Ukimshauri afnye biashara anaishia kupoteza mtaji. Anataka aoe hana hata shuka, vijana wa siku hizi wanashida gani wajameni.

Hii yote ni malezi mabaya ya kumdekeza mtoto wa kiume. Madekezo hayo yote sasa yameniangukia Mimi, sometimes nashindwa hata kupata tunda Ili shemeji asisikie migumo.
Hapo wewe ndio MPUMBAVU
kwani ukimwambia humtaki arudi kwao utapungukiwa nini?
 
Hapo wewe ndio MPUMBAVU
kwani ukimwambia humtako arudi kwao utapungukiwa nini?
Atamwambiaje hamtaki wakati mke wake ndo ana control kila kitu hapo. Tatizo kubwa ni yeye mwenyewe wala sio shemeji yake.
 
Mke akiamka hakuna zaidi ya kukaa koridorni wakipiga stori habari za familia yao, na umbea wa kutosha.

Kuna Huyu kijana ana 35+ hana kazi, hataki kazi. Mama yao ni mkulima kijijini, akiteseka kwa ajili ya watoto watu wazima kama huyu, wavivu.

Chai inakuwa shida kuipata kwa wakati, kuna muda nalazimika kuingalia kati kwa maneno ya hekima kuhusu kucheleweshana kupata break fast au wakati mwingine naingia mwenyewe kuwaandalia watoto break fast na chai.

Kwa kuwa huwa namsifusifu huyu kijana mke anaona naona kawa kuwaona wakipoteza muda miezi na miezi kijana alipoteza muda nyumbani kwangu.

Kunakila dalili kuwa mama mkwe ameridhika sana Mimi kumlea mwanae wa kiume hapa kwangu..

Ukimshauri afnye biashara anaishia kupoteza mtaji. Anataka aoe hana hata shuka, vijana wa siku hizi wanashida gani wajameni.

Hii yote ni malezi mabaya ya kumdekeza mtoto wa kiume. Madekezo hayo yote sasa yameniangukia Mimi, sometimes nashindwa hata kupata tunda Ili shemeji asisikie migumo.
Sema usimnyanyase huyo shemeji yako tumia njia za kitaalamu kumuoandoa kwako bila yeye kujua .
 
Miaka 35+ kuishi kwa wazazi ni sawa ila kwa mtu kama shemeji ,mjomba ,kaka sio sawa .

Muitie polisi ili apewe kesi ya kuhujumu uchumi.
 
Back
Top Bottom