Hujampa mbinu mkuu,angemkunisha nazi tu hadi akimbie mwenyewe arudi Nzega.Aiseeee hatareee hiii jamni
why apate lawama yaani hiyo njia sahihi ya maisha hajaonyeshwa na baba yake,wajomba zake na kaka zake na dada zake..eti aje alaumiwe shemeji.! vipi kama asingemuoa huyo dada yake.na hapo ukute huyo shemeji anao ndugu zake kibao hawana njia sahihi ya maisha na wala yeye halaumiwi na hao ndugu zake alafu eti ndio alaumiwe kwa shemeji.! hata kama unao uwezo wa kumpa maisha basi wanyanyue ndugu zako kwanza wanaokuhusu habari za shemeji sio wajibu wako.Huyo kijana akiendelea hivyo mleaji ndiye atakayepata lawama maana hakumwonesha njia sahihi ya maisha.
Mi Sina noma mkuu.Mpokee shemeji yako ukioa jiandae kumpokea mpka bibi wa mkeo,
Hii ni mbovu mkuu 😀Aiseeee hatareee hiii jamni
Fukuza unasubiri nnMke akiamka hakuna zaidi ya kukaa koridorni wakipiga stori habari za familia yao, na umbea wa kutosha.
Kuna Huyu kijana ana 35+ hana kazi, hataki kazi. Mama yao ni mkulima kijijini, akiteseka kwa ajili ya watoto watu wazima kama huyu, wavivu.
Chai inakuwa shida kuipata kwa wakati, kuna muda nalazimika kuingalia kati kwa maneno ya hekima kuhusu kucheleweshana kupata break fast au wakati mwingine naingia mwenyewe kuwaandalia watoto break fast na chai.
Kwa kuwa huwa namsifusifu huyu kijana mke anaona naona kawa kuwaona wakipoteza muda miezi na miezi kijana alipoteza muda nyumbani kwangu.
Kunakila dalili kuwa mama mkwe ameridhika sana Mimi kumlea mwanae wa kiume hapa kwangu..
Ukimshauri afnye biashara anaishia kupoteza mtaji. Anataka aoe hana hata shuka, vijana wa siku hizi wanashida gani wajameni.
Hii yote ni malezi mabaya ya kumdekeza mtoto wa kiume. Madekezo hayo yote sasa yameniangukia Mimi, sometimes nashindwa hata kupata tunda Ili shemeji asisikie migumo.
Yes, naona bora afurumushwe tu na shemeji, au siyo?why apate lawama yaani hiyo njia sahihi ya maisha hajaonyeshwa na baba yake,wajomba zake na kaka zake na dada zake..eti aje alaumiwe shemeji.! vipi kama asingemuoa huyo dada yake.na hapo ukute huyo shemeji anao ndugu zake kibao hawana njia sahihi ya maisha na wala yeye halaumiwi na hao ndugu zake alafu eti ndio alaumiwe kwa shemeji.! hata kama unao uwezo wa kumpa maisha basi wanyanyue ndugu zako kwanza wanaokuhusu habari za shemeji sio wajibu wako.
We jamaa toka mda ule umeandama sana mambo ya kukuna nazi..Hujampa mbinu mkuu,angemkunisha nazi tu hadi akimbie mwenyewe arudi Nzega.
We jamaa mda gani huwa unakulaHii ni mbovu mkuu 😀
Hahaha kubabek haya maneno ungemwambia usoni kavu kavu sijui angekuonaje yaan angesepa siku hio hio na ugomvi na mama mkwe usingeisha, usijaribu jikaze ipo siku yake atajipambanua na kujipambania mkuu usimkatie tamaa kiasi hicho, mnunulie walau hata bajaj basi awe anapiga misele kula vichwa 1000 akizichanga hawezi kukosa hela ya kununua shuka kwani shuka si zipo mpaka buku 7,8,9,10 na kuendelea, muonyeshee upendo mpe ChannelAnataka aoe hana hata shuka
Kwa nini mkuu 😀We jamaa mda gani huwa unakula
Mda gani unalala
Vipi kukutana kimwili.na mwenza wako
Mkuu wewe ni witch
🙌🙌🙌🙌 Mkuu mie ngumi siwezi.We jamaa toka mda ule umeandama sana mambo ya kukuna nazi..
Mkuu mbona kama unataka watu tupigane live live
Kwa hii Kesi wewe ndio Tatizo mkuuMke akiamka hakuna zaidi ya kukaa koridorni wakipiga stori habari za familia yao, na umbea wa kutosha.
Kuna Huyu kijana ana 35+ hana kazi, hataki kazi. Mama yao ni mkulima kijijini, akiteseka kwa ajili ya watoto watu wazima kama huyu, wavivu.
Chai inakuwa shida kuipata kwa wakati, kuna muda nalazimika kuingalia kati kwa maneno ya hekima kuhusu kucheleweshana kupata break fast au wakati mwingine naingia mwenyewe kuwaandalia watoto break fast na chai.
Kwa kuwa huwa namsifusifu huyu kijana mke anaona naona kawa kuwaona wakipoteza muda miezi na miezi kijana alipoteza muda nyumbani kwangu.
Kunakila dalili kuwa mama mkwe ameridhika sana Mimi kumlea mwanae wa kiume hapa kwangu..
Ukimshauri afnye biashara anaishia kupoteza mtaji. Anataka aoe hana hata shuka, vijana wa siku hizi wanashida gani wajameni.
Hii yote ni malezi mabaya ya kumdekeza mtoto wa kiume. Madekezo hayo yote sasa yameniangukia Mimi, sometimes nashindwa hata kupata tunda Ili shemeji asisikie migumo.
Sasa habari za kukuna nazi mwambie mwachiluwi hukooo🙌🙌🙌🙌 Mkuu mie ngumi siwezi.
😂😂😂
Mkuu yaishe nisamehe 🙌🙌🙌 yote kayataka Half american alinambia una kibao cha nazi.Sasa habari za kukuna nazi mwambie mwachiluwi hukooo
Mi kwanza sina kibao cha nazi mkuu ebu kua na staha