Hizi tabia hazivumiliki

Hizi tabia hazivumiliki

Mke akiamka hakuna zaidi ya kukaa koridorni wakipiga stori habari za familia yao, na umbea wa kutosha.

Kuna Huyu kijana ana 35+ hana kazi, hataki kazi. Mama yao ni mkulima kijijini, akiteseka kwa ajili ya watoto watu wazima kama huyu, wavivu.

Chai inakuwa shida kuipata kwa wakati, kuna muda nalazimika kuingalia kati kwa maneno ya hekima kuhusu kucheleweshana kupata break fast au wakati mwingine naingia mwenyewe kuwaandalia watoto break fast na chai.

Kwa kuwa huwa namsifusifu huyu kijana mke anaona naona kawa kuwaona wakipoteza muda miezi na miezi kijana alipoteza muda nyumbani kwangu.

Kunakila dalili kuwa mama mkwe ameridhika sana Mimi kumlea mwanae wa kiume hapa kwangu..

Ukimshauri afnye biashara anaishia kupoteza mtaji. Anataka aoe hana hata shuka, vijana wa siku hizi wanashida gani wajameni.

Hii yote ni malezi mabaya ya kumdekeza mtoto wa kiume. Madekezo hayo yote sasa yameniangukia Mimi, sometimes nashindwa hata kupata tunda Ili shemeji asisikie migumo.
Kwanini uliamua kuoa familia za kimasikini ?.
 
1747561570524.jpg
 
Uko n roho safi sana ila kubolesha roho yako fungua shamba l kilimo cha mboga mboga na kufuga kuku. Peleka yy uko shamba sw.
Kazi ni kipimo cha utu

Wengine kwenye maisha huwa hawana malengo, wewe weka malengo. Halafu simamia yeye kutekeleza.
CC: mager6
 
Mkuu yaishe nisamehe 🙌🙌🙌 yote Kayataka Half american alinambia una kibao cha nazi.
Aje hapa akiri kunambia huu uzushi.
Half american anazingua mkuu..
Sasa mi kibao cha nazi cha nini ndani..
Kwanza mkuu mimi hata vyombo sina acheni mambo yenu..

Serious mi niwe na kibao cha nini mkuu wangu hata sijaoa umri huu niache kumiliki PS et nisumbuke na kibao cha kukunia nazi yaani nikae kabisa nianze kukuna nazi

Wakuu nitakichafua sasa hivi mi najiweza mjue.. hizi zarau ...
Mi kibao cha nazi cha nini kwanza...
Kosugi safari hii umekunya ninapokojoa ngoja am caming
 
Half american anazingua mkuu..
Sasa mi kibao cha nazi cha nini ndani..
Kwanza mkuu mimi hata vyombo sina acheni mambo yenu..

Serious mi niwe na kibao cha nini mkuu wangu hata sijaoa umri huu niache kumiliki PS et nisumbuke na kibao cha kukunia nazi yaani nikae kabisa nianze kukuna nazi

Wakuu nitakichafua sasa hivi mi najiweza mjue.. hizi zarau ...
Mi kibao cha nazi cha nini kwanza...
Kosugi safari hii umekunya ninapokojoa ngoja am caming
Nawewe umemuamini ?
 
Huyo siyo kijana,, ni mzee ,,,, wenzake wenye 35 wana wajukuu...
Aiseee una moyo saana, yaani unalea mtu wa aina hiyo, du!
Rudisha mzigo kwa mama mkwe alioutengeneza la sivyo utaletewa na watoto wa shemeji utawalea muda si mrefu...
Mtu asiyejielewa ni wa kuweka pembeni kwenye hili life la sasa..
 
Huyo siyo kijana,, ni mzee ,,,, wenzake wenye 35 wana wajukuu...
Aiseee una moyo saana, yaani unalea mtu wa aina hiyo, du!
Rudisha mzigo kwa mama mkwe alioutengeneza la sivyo utaletewa na watoto wa shemeji utawalea muda si mrefu...
Mtu asiyejielewa ni wa kuweka pembeni kwenye hili life la sasa..
Dadaake anampoteza, hafikirii na Mimi nashindwa ukimshauri ataona ninanongwa
 
Back
Top Bottom