Tender imeshatangazwa ?Mjuu unajua bei ya nguzo moja ya chuma ya hizo taa? Hii sio taa wanayoenda kufunga kwenye socket nyumbani. Na si kila kitu ulichoona Alibaba bei rahisi kina ubora wa kununuliwa au ndio bei elekezi. Waacheni watu wafanye kazi.
Ingia alibaba utashangaa bei ya hizo Taa na ndio utajua utamu wa madaraka.Au labda ni teknolojia kama ya Mossad , CIA? isije ikawa zina satellite ndani, taa 32 kwa milioni 102 ukipiga hesabu ni kama vile taa moja ni tshs 3,187,000.
View attachment 1835927View attachment 1836188
nafikiri hata tender haijatangazwa hapoIngia alibaba utashangaa bei ya hizo Taa na ndio utajua utamu wa madaraka.
Hahaha
Bwasheh umekiona choo hicho lkn
Isije ikawa choo cha kisasa ukijisaidia unanawishwa....
Kabla ya kulaumu kafanye utalii kdg
Ova
Hapo umepigia hesabu taa tu, kuna nguzo za stainless steel, solar panel yenye sensor pamoja na faida ya kampuni inayoshinda tender, ungeleta mchanganuo huo ingekuwa vyema zaidi.Au labda ni teknolojia kama ya Mossad , CIA? isije ikawa zina satellite ndani, taa 32 kwa milioni 102 ukipiga hesabu ni kama vile taa moja ni tshs 3,187,000.
View attachment 1835927View attachment 1836188
kumbe tender ilitangazwa?Hapo umepigia hesabu taa tu, kuna nguzo za stainless steel, solar panel yenye sensor pamoja na faida ya kampuni inayoshinda tender, ungeleta mchanganuo huo ingekuwa vyema zaidi.
Project documents/tender documents/biding documents zimetoka, zinapatikana wapi ?Umepiga gharama ya mkandarasi ? Procurement n.k au unadhani hiyo hela ni taa peke yake?
Kwanza eneo lazima ifanyike survey, uandaliwe mchoro, baada ya hapo tender itangazwe au wafanye selective tendering, baada ya kupata mkandarasi kazi inaanza...
Kumbuka kuna kuchimba shimo ili uweke base ya kubeba hizo poles (nguzo) nazo ni gharama pia, Usisahau hiyo base inakua na reinforcement kuipa uimara,
Ongeza hili katika akili yako ni kwamba watu wanaweza kuandaa michoro lakini specification za material siyo locally yaan inabidi uagize nje, piga gharama ya shipping, clearing & forwarding...
Hapana asee,zile taa,haziwezi kuzidi laki 5,pamoja na ufundi,Nazani zitakuwa zile taa zenye Sola ukichanganya na gharama za ufundi na vifaa vingine
Mlingoti mwembamba hivyo?,hizo taa mbona zinauzwa hapahapa dar kwa laki mbili kichwa,bila mlingoti?.Hizi ni zaidi ya 3 mil. Mkuu
Hakuna taa ya milioni 3,,dunia nzimajamani taa 32 kwa ajili ya nje ya ofisi yake tu? basi hizo za milioni 3 achukue 10 kwa ajili ya ofisi yake, hizi za 600,000 achukue taa mia moja afunge mtaa mzima kwa wananchi
View attachment 1836049
inasikitisha sana na mitaa mingi iko na giza tu , acha watu wateteteee ulaji na naona upigaji umekolea moto kwa sasa hii ni blue print wilaya zote watafanya hivi tena nawashauri waweke taa za milioni 7 kwa taa moja ili isonekane serikali inapenda vitu vya kimaskiniHakuna taa ya milioni 3,,dunia nzima
Kamekua kajizi naona na mama anakaacha tuIngia alibaba utashangaa bei ya hizo Taa na ndio utajua utamu wa madaraka.
Weka break down tujue umeipataje hiyo 1.5 mKwa uelewa wangu estimations ya kufanya hivyo haizidi 1.5M kwa taa moja
Umeshawahi kufanya hiyo kazi before?Hizi taa nanunua kwa 50-100k hata ukiweka mlingoti haizidi 200k
Really!!!!!!????Jokate alijenga choo kimoja kwa tsh 40,000,000 pale Kisarawe!
Ndo aina ya ma DC tulionao utafikifi bongo movie,milioni 100?Unakubali kabisa tena na kusema safi sana nchi maskini kama Tanzania zitumike sh milioni 100 kwa ajili tu ya taa tena mbele ya ofisi ya DC?
YapUmeshawahi kufanya hiyo kazi before?