Hizi taa za Jokate Mwegelo mbona bei ghali hivyo jamani au zina link na satelites?

Huwezi kumaliza matatizo ya watanzania wote na hasa kwa nchi masikin kama tanzania, hayo unayo yasema wewe yana mipango yake na budget zake, kwa sababu badae mtaanza aooh! Watanzania wanakula kutwa mara moja halafu Dc anapanda gari! Yaan mawazo ya maskini yapo kimaskini maskini mda wote

Sasa wewe nyumban kwako umenunua li TV tena liflat smart LED 42" la nini wakati huko kijijini kwenu una ndugu zako tena wa damu wanatembea peku au hawana hata viatu na nguo nzuri za kubadilisha?
Acha kuzungumzia matumizi ya fedha za umma na mambo binafsi ya mtu na ndugu zake.Hayo matumizi ya ofisi ya mkuu wa wilaya yanatokana na kodi ndo maana kuna bajet na kuna ukaguzi wa matumizi na akitumia vibaya inaitwa ufisadi au ubadhirifu na tungekua serious anapelekwa mahakamani.sasa je hayo yako kwa mtu binafsi.
 
Au labda ni teknolojia kama ya Mossad , CIA? isije ikawa zina satellite ndani, taa 32 kwa milioni 102 ukipiga hesabu ni kama vile taa moja ni tshs 3,187,000.

View attachment 1835927View attachment 1836188
Naona hapo inauzwa 600k ambayo ni powerful enough.
Kuna gharama ya ile pole ambayo materials yanayotumika kuteiunda ni galvanized steel siyoshika kutu...bei yake inaweza kuwa sawa na taa au zaidi.

Kuna swala.la civil works katika standards za kimataifa kwaajili ya kuzi elevate izo poles. Hii haifanywi na fundi maiko..anafanya engeneer.

Kuna swala la kudesign,..kujua taa inakaa wapi na kwaajili gani. Ilindistribution ya mwanga iwepoa. Ni interllectual task hii..ina gharama zake.

Kuna VAT Ambayo ni 18%..top up hapo kwenye gharama. Na fanya kama margin ya engineer ni 20%.
 
Mjuu unajua bei ya nguzo moja ya chuma ya hizo taa? Hii sio taa wanayoenda kufunga kwenye socket nyumbani. Na si kila kitu ulichoona Alibaba bei rahisi kina ubora wa kununuliwa au ndio bei elekezi. Waacheni watu wafanye kazi.
Swala sio uzuri na gharama ya kuweka, je Temeke hospital kuna dawa za kutibu watu bure? Wazee wanaambiwa wakanunue dawa, hiyo barabarani mbele yake, ikoje, nusu km ya lami ni sh 120 milioni je ni busara kutumia fedha hizo kuweka taa???kama maskini hana viatu ila ananunua shati la sh 500,000 (yapo) je ni busara?
 
Acha kuzungumzia matumizi ya fedha za umma na mambo binafsi ya mtu na ndugu zake.Hayo matumizi ya ofisi ya mkuu wa wilaya yanatokana na kodi ndo maana kuna bajet na kuna ukaguzi wa matumizi na akitumia vibaya inaitwa ufisadi au ubadhirifu na tungekua serious anapelekwa mahakamani.sasa je hayo yako kwa mtu binafsi.
Sasa wewe unajua viwango vyote vya kutumia pesa za umma vibaya? Unajua gharama za kutengeneza mifumo ya outdoor automatic security lighting? Au unadhan watafunga bulb za 40w za kuwashia kuku wa mayai?
 
Sajili lain yako ya uwakala kwa MAJINA yako
Tgo pesa 120000/
Airtelmoney 60000/
Halopesa 25000/
M-pesa 145000/
M lipa 50000/
Malipo baada ya kazi
 
Back
Top Bottom