Hizi sio ndoto za kawaida

Hizi sio ndoto za kawaida

Unajua ndoto nyingi hizi za kawaida ni mchanganyiko wa matukio mengi vague memories! Matukio ya kila siku tunayoyasoma kuyaona kuyatenda na hata kuwaza
Ni ngumu kupata tafsiri ya kila ndoto labda tu ziwe ndoto taarifa maono au zile zinazoletwa na michezo ya wanga
nashukuru ila tatizo ndoto zang nying huwa kama matukio ila lazima kuwe na jambo ambalo c lakawaida mbona
 
nashukuru ila tatizo ndoto zang nying huwa kama matukio ila lazima kuwe na jambo ambalo c lakawaida mbona
Sasa hili si la ndoto za kawaida hayo ni maono kuna kitu unacho kinachohusika na jicho la tatu foreseen phenomenon
 
Mkuu Yaaaan hapo kwenye kumemenwa na jokery ni kweli kabsa niliwahi ota nagongwa na nyoka kwenye eneo la mshikaji wangu fulani ambaye alikuja ghafla kwenye urafiki ila mshikaji ni kweli ana jealous kweli kweli ila uzuri nilikimbilia kwenye maombi na wakat wa maombi nilickia maumivu makali pale nilipo ota Nimegongwa na nyoka baada ya cku kadhaa nilikutana na huyo mshikaji ambaye nimeota nimegongwa na nyoka kwenye eneo lao na yeye akawa anacheka ila baada ya kuonana aniambia kua kijana una machale kweli kweli toka cku hyo nikamchana ukweli ckua nae karibu na namba nikabadir
 
Hizi ni tiba kama tiba nyingine usizifananishe na ushirikina

Ushirikina upoje au mm nautafsiri vibaya

mfn.. kwenda kwa mganga, kutumia madawa ya waganga and the like(hirizi, kuweka nyumba madaw mchaw asiingie, kutumia madawa et unachezewa, n.k) ni ushirikina, hayo mambo ambayo huon ni ya roho kama kuota au kuchezewa hayo Ndio Mungu anataka tumwombe atuponye nayo

hayo mengine kama magonjwa ambayo yatokayo kwa Mungu ndio amesema katika muhubiri kuwa "..amemfanya mwanadamu mnyoofu nae amevumbua mavumbuzi meng.."

Hayo magonjwa mengine ambayo yanazalishwa na hao ndio yanasababisha watu wakimbilie dawa kwao
 
mimi nimeota nakula mayai mboga mboga juice nzuri kwenye garden nzuri nimevaa nguo fupi nyeupe, ila kuna binti ila ana dushe ananitomasa na kafanikiwa kunishawishi hadi nikavua kofuli akawa kama ananichezea nikashtuka .. sasa hii inamaana gani ? ila nimeaka huku kwa bibi kupo kawaida
 
mshana jr,
Ulipikuwa nje ya JF niliota umemuoa member machachari kama Margreth Thatcher halafu mkaenda wote Maldives kula raha za visiwani fungate lenu.
Halafu kwenye ulimwengu wa uhalisia ulipo potea tu na FaizaFoxy akapotea.
Karibuni sana wana ndoa wapya wa JF.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
mimi nimeota nakula mayai mboga mboga juice nzuri kwenye garden nzuri nimevaa nguo fupi nyeupe, ila kuna binti ila ana dushe ananitomasa na kafanikiwa kunishawishi hadi nikavua kofuli akawa kama ananichezea nikashtuka .. sasa hii inamaana gani ? ila nimeaka huku kwa bibi kupo kawaida
[emoji2] [emoji2] ndoto mahaba hizo loh
 
Nkuu mshana jr karibu tena... Mimi ninaweza kuota ndoto ikajirudia hata week nzima. Ingawa sio moja ila huwa inajirudia kwa namna tofauti. Kuna ndoto km aina 3 huwa zinajirudia rudia saaana. 1. Kuhusu samaki, yaan haipiti week lazima niiote. 2. Msiba au sherehe ukweni kwangu. 3. Naota niko kijijini kwetu. Sasa hii ndio kabisaaa inaweza kutokea hata mara 2 kwa week.
 
k
Roho yake bado haiko mbali nawe na hii inaweza kuwa ni sababu ya ukaribu uliokuwa nao kwake kabla hajaondoka milele, kuna baadhi ya watu hawana ukaribu na wazazi wao
heee kumbe ukiwa karibu sana na mtu akifa roho yake inakaa karibu nawe??? mshana unaweza ukawa una ukweli fulani
 
Back
Top Bottom