Hizi sio ndoto za kawaida

Hizi sio ndoto za kawaida

Mimi ndoto zangu nyingi ni kupaa, kuna ambazl naota nakimbizwa ila nashindwa kupaa though nahisi uwezo wa kupaa ninao ,siku zingine naota napaa vizuri sana na kwa speed ,nishawahi kuliongea nyumbani maana ni toka nikiwa mdogo kaka zangu wakaniambia usiku nikila nikashiba ndio sababu toka kipindi hicho mpaka leo hii mimi usiku sili chakula kigumu kama ugali na sili sana ila ndoto hizo hazijakomaa,huenda ikawa nini suluhu kaka maana saa nyingine zinaniacha na stress au uchovu wa kutwa nzima!?
Kingine nikiota ndoto nikashtuka na kusikia adhana ya asubuhi lazima hilo litokee siku hiyo yaani kama mabadiliko machache ila theme uwa ile ile ,hii nayo ikoje kaka !?
Lastly maisha yangu ni kama ya marudio mpaka saa zingine yananikera yaani asilimia nyingi mambo yananikuta au nakuta na mazingira ambayo akili inaniambia hili lishanitokea ila sikumbuki wapi na lini,ina isaidia hata kwenye kuamua mambo yangu saa zingine ,je nina tatizo gani kaka!?
Ahsante sana
 
Duh!nifanyeje mkuu ili mipango yangu iweze kukamilika.
Ni ngumu huwezi kutimiza ndoto zote mpaka kifo komaa tu na kujibidiisha hizo ni ndoto tuu...hakuna hata mmoja alishawahi kutimiza ndoto zake zote maishani
 
Ni ngumu huwezi kutimiza ndoto zote mpaka kifo komaa tu na kujibidiisha hizo ni ndoto tuu...hakuna hata mmoja alishawahi kutimiza ndoto zake zote maishani
sasa mshana kama ni hivyo kwanini wote tusiote ndoto kama ya huyo maana si wote ndoto zetu hazitimii zote???
 
View attachment 421175Dunia ni duara na anga liko juu huku tukiishi kwenye nguvu ya uvutano, dunia ina pande kuu kumi ambazo zote zinashikiliwa kwenye mhimili wa kati
Paji la uso ndio penye njia ya jicho la tatu unapolala chali ni kama unauangalia ulimwengu kupitia mhimili wa kati kuelekea angani ambako huko angani kunapita vitu vya kila aina vinavyoonekana na visivyoonekana vizuri na vibaya
Ni katika hali hiyo ya usingizi jicho la tatu likinasa jambo zuri utaota ndoto nzuri au usiote kabisa lakini kama ni jambo baya basi ndoto zitakuwa za kutisha sanaView attachment 421174lakini kwa style yako hiyo ya kukunja nne huko sio kulala chali
Nakushukuru sana, ndio maana wanasemaga watoto walale upande upande au kifudifudi. kingine japo ni nje ya mada, mwanangu huwa analala then katikati ya usingizi anaangua kilio kikali kwa sekunde 10-15 then anaendelea kulala, mara nyingi mda wa mchana, na akia amka huwa kama ameshituka ( gari la kustua linavyokua) unaweza kunidadavulia mkuu
 
mimi leo nimeotaa ndoto ya ajabu sana mpaka nashindwa kuielewa,nimeota natoka shule kule posta naenda kituon nakutana na wa2 barabarani wamepiga magoti wanaomba maombi ya nguvu kweli ila cha ajabu katika ndoto hii nimeota wa2 wakubwa tu tena na maarufu alikuwepo masanja,baadhi ya mawaziri sasa nkawa najiuliza why wako barabaran halafu wanaomba wakat natafakari hayo akaja mdada eti mumewe ni christian ronaldo huyu wa majuu eti ndo kaka yangu wakasema 2mekuja kukuombea wakaanza kuniombea ghafla nikaanza kutoka v2 vya ajabu masikion kama mifuko meus ya rambo ikitoka na uchafu mweupe pindi naombewa nkawanashangaa naota ama n kweli kiufup ni hvyo mkuu mshana ata nkieleza ndoto yote haitaisha ila huo n muongozo naomba nisaidie itakuwa na maana gani hyo mana nmeogopa sana.
asante
 
Unapolala tumia vitu hivi viwili au vitatu kitunguu saumu jipake kwenye paji na uso na viganjani kipande cha ndimu weka chini ya mto na olive oil jipake pia mikononi na miguuni na utosini
Angalizo: kichwa kinaweza kukuuma sana na kutoka jasho usiogope

Panya hawawezi kumng'ata?
 
Duh!nifanyeje mkuu ili mipango yangu iweze kukamilika.
endelea kulala sana!!!!! natania, panga mpango mmoja na hakikisha unaukamilisha then kabla ya kuanza kuutekelezea wekea nadhiri kwa Mungu akufanikishe ukifanikiwe katoe sadaka..
 
mimi leo nimeotaa ndoto ya ajabu sana mpaka nashindwa kuielewa,nimeota natoka shule kule posta naenda kituon nakutana na wa2 barabarani wamepiga magoti wanaomba maombi ya nguvu kweli ila cha ajabu katika ndoto hii nimeota wa2 wakubwa tu tena na maarufu alikuwepo masanja,baadhi ya mawaziri sasa nkawa najiuliza why wako barabaran halafu wanaomba wakat natafakari hayo akaja mdada eti mumewe ni christian ronaldo huyu wa majuu eti ndo kaka yangu wakasema 2mekuja kukuombea wakaanza kuniombea ghafla nikaanza kutoka v2 vya ajabu masikion kama mifuko meus ya rambo ikitoka na uchafu mweupe pindi naombewa nkawanashangaa naota ama n kweli kiufup ni hvyo mkuu mshana ata nkieleza ndoto yote haitaisha ila huo n muongozo naomba nisaidie itakuwa na maana gani hyo mana nmeogopa sana.
asante
sijui ulikula maharage ya wapi wewe kabla ya kulala....
 
Mshana jr, mie tokea mama yangu alivyofariki huwa kila mara namuota tena ndoto za Enzi nilivyokuwa mdogo, na weza kuongea naye kama vile yupo na hata kumueleza yanayonisibu au hata furaha yangu yaani ANAKUWA KAMA VILE YUPO TU
 
Ni ngumu huwezi kutimiza ndoto zote mpaka kifo komaa tu na kujibidiisha hizo ni ndoto tuu...hakuna hata mmoja alishawahi kutimiza ndoto zake zote maishani
Off course siwezi timiza zote,ila nataka nitimize nyingi katika hizo
 
sasa mshana kama ni hivyo kwanini wote tusiote ndoto kama ya huyo maana si wote ndoto zetu hazitimii zote???
Sisi wote ni binadamu lakini tunatofautiana vitu vingi sana na huo ni mfano tu kwake ndoto za namna hiyo huja kwa njia nyingi tofauti kwa mfano hata kupanda milima isiyoisha au kusafiri safari usiyofika nknk
 
Nakushukuru sana, ndio maana wanasemaga watoto walale upande upande au kifudifudi. kingine japo ni nje ya mada, mwanangu huwa analala then katikati ya usingizi anaangua kilio kikali kwa sekunde 10-15 then anaendelea kulala, mara nyingi mda wa mchana, na akia amka huwa kama ameshituka ( gari la kustua linavyokua) unaweza kunidadavulia mkuu
Uwe unampaka ndimu kwenye paji la uso kifuani na tumboni hiyo hali itaisha
 
mimi leo nimeotaa ndoto ya ajabu sana mpaka nashindwa kuielewa,nimeota natoka shule kule posta naenda kituon nakutana na wa2 barabarani wamepiga magoti wanaomba maombi ya nguvu kweli ila cha ajabu katika ndoto hii nimeota wa2 wakubwa tu tena na maarufu alikuwepo masanja,baadhi ya mawaziri sasa nkawa najiuliza why wako barabaran halafu wanaomba wakat natafakari hayo akaja mdada eti mumewe ni christian ronaldo huyu wa majuu eti ndo kaka yangu wakasema 2mekuja kukuombea wakaanza kuniombea ghafla nikaanza kutoka v2 vya ajabu masikion kama mifuko meus ya rambo ikitoka na uchafu mweupe pindi naombewa nkawanashangaa naota ama n kweli kiufup ni hvyo mkuu mshana ata nkieleza ndoto yote haitaisha ila huo n muongozo naomba nisaidie itakuwa na maana gani hyo mana nmeogopa sana.
asante
Unajua ndoto nyingi hizi za kawaida ni mchanganyiko wa matukio mengi vague memories! Matukio ya kila siku tunayoyasoma kuyaona kuyatenda na hata kuwaza
Ni ngumu kupata tafsiri ya kila ndoto labda tu ziwe ndoto taarifa maono au zile zinazoletwa na michezo ya wanga
 
Mshana jr, mie tokea mama yangu alivyofariki huwa kila mara namuota tena ndoto za Enzi nilivyokuwa mdogo, na weza kuongea naye kama vile yupo na hata kumueleza yanayonisibu au hata furaha yangu yaani ANAKUWA KAMA VILE YUPO TU
Roho yake bado haiko mbali nawe na hii inaweza kuwa ni sababu ya ukaribu uliokuwa nao kwake kabla hajaondoka milele, kuna baadhi ya watu hawana ukaribu na wazazi wao
 
Back
Top Bottom