kiumbempole
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 551
- 905
Enzi zetu somo kama hilo 'Social' ndio ilikuwa Historia,Jiografia. Nakumbuka, mfano
Mtu unasoma vitu vya kueleweka kabisa; mf: Kilimo cha mahindi - Marekani, kilimo cha migomba -Kagera, nk.
Enzi zetu somo kama hilo 'Social' ndio ilikuwa Historia,Jiografia. Nakumbuka, mfano
Kifupi upo la piliAisee hii ni shida mwanangu maswali ya darasa la pili uafikir form3 du watamuua mwanangu, kweli mtoto wa std 2 una muuliza swali la mention four symptoms of tuberculosis kweli, mpaka nikampigia rafiki yanyu doctor mana mimi nilikua najua 2 tu. Sasa sijui nasoma mimi au mwanangu
1.permanent farming
2.normadic farming
comment-allez vous monsieur ?Alete kwangu mkuu
afu ukute ulkua unamwambiaga wewe ndiyo ulkuwa kichwa darasani kwenu 😂 😂Masomo kama SOCIAL STUDIES ni magumu kweli kweli. Mtoto darasa la tano anapewa swali la homework utadhani ni A level- "Explain in details the benefits and challenges of Regional integration by siting examples in economic, social and other aspects "!!
Mimi mzazi, I am like...seriously? .
Sijui elimu siku hizi ipoje?
Kashakimbiacomment-allez vous monsieur ?
Quell niveau de la langue française êtes vous ?
1. Permanent farmingAcha kabisa mkuu, binafsi pia inaniboa mnoo.
Hapa dogo kaniletea maswali,nmejibu lakini kuna maswali mawili nmechemka.wajuzi wanisaidie please.
1.Farming involving permanent settlement is called...........
2.Farming with no permanent settlement is called.............
Nmemuambia akalale,namtafutia majibu atajaza alfajiri..nmejaribu ku Google lakini wapi
Acha kabisa mkuu, binafsi pia inaniboa mnoo.
Hapa dogo kaniletea maswali,nmejibu lakini kuna maswali mawili nmechemka.wajuzi wanisaidie please.
1.Farming involving permanent settlement is called...........
2.Farming with no permanent settlement is called.............
Nmemuambia akalale,namtafutia majibu atajaza alfajiri..nmejaribu ku Google lakini wapi
Mkuu hii ID yako naionaga kule kwenye group letu la forex au siyo hii?Aisee hii ni shida mwanangu maswali ya darasa la pili uafikir form3 du watamuua mwanangu, kweli mtoto wa std 2 una muuliza swali la mention four symptoms of tuberculosis kweli, mpaka nikampigia rafiki yanyu doctor mana mimi nilikua najua 2 tu. Sasa sijui nasoma mimi au mwanangu
Mkuu hii ID yako naionaga kule kwenye group letu la forex au siyo hii?
Yaani inaumiza Sana.Hakika umesema kweli yani kwa sasa na mm najiona nipo grade 3 A hahaha maana leo uataulizwa what is th process of changing liquid to gas mara draw coat of arm yan kwa kwel inachosha.
Huwa nawaza vipi kwa wale wazazi ambao hawajafika hata form four hawa watoto wanawasidiaje home work
Bado asubuhi hujakumbushwa kusign diary
Basi nmechanganya mkuuForex ni nini?
Ni hulka ya wanafunzi kusema hakuelewa au Mwalimu hakuelezea vizuri.Watoto kila siku wanarudi na homework mpya mzazi uwasaidie. Ukimuuliza anakuambia mwalimu hajamuelekeza akaelewa.
Sasa nalipia ada zaidi ya milioni ili watoto wapewe homework niwe mwalimu wao?
Kwa nini hawawafundishi wanafunzi wakaelewa ndipo wawape hizo home work wakazifanye!?
Wazazi wengine hatuna hulka ya kufundisha na wengine ndio tuliishia la sababa.
Tunatafuta hela na kulipa ada ili walimu wawafundishe sio watuletee homework kuja kutupima ujinga wetu..!! Walimu fanyeni kazi yenu ya kufundisha msihamishe goli.
Mbona kwenye ada hatupunguziwi kwamba tumeshiriki kufundisha watoto hivyo tulipwe stahiki zetu!?
Moi, je ne parle pas bien,mais je comprends tous,quand qualqun parle.comment-allez vous monsieur ?
Quell niveau de la langue française êtes vous ?
Kasema ye La saba unauliza tena ElimuElimu yako tafadhali
Wajibu wangu sio kumfundisha vitu ambavyo walimu wake hawajamfundisha.Punguza jazba huwo ni wajibu wako