the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,894
Kusema kweli mimi home work sion shida kuwasaidia ila mtihani unakua pale mwanangu wa kwanza wa kike na yuko std5 anakuja na maswali ya ejaculation, menstrual cycle, fertilization,sex na anataka umueleze aelewe ilhali yeye mwenyewe hata kukua bado. Hapo napata shida mno mno maana naona aibu sana,najua natakiwa kuongea nae ila sio mtoto wa miaka 11 dah