Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
- Thread starter
- #41
Garama za usafiri na chakula Hakuna shule iliyokuwa inaziitaji huo ni uongo hakuna shule ambayo ilikuwa inahitaji hizo hela Sema mnatafuta kichaka cha kujificha watu wanauliza swala la Ada sio chakula, kwa hiyo wewe unaweza kufikiri kuwa kuna mtu angekuomba hela Ya chakula? Basi huyo alipaswa akapelekwe milembeTatizo kubwa siyo ada. Ni gharama za chakula na usafiri kubaki kama zilivyo licha ya kwamba siku za kusoma zimepungua. Naona serikali imeshatoa mwongozo wa gharama za chakula na usafiri. Tuishukuru kwa kuliona hilo!