Hizi shule binafsi dawa yao ni moja tu kulipa madeni yao halafu kuhamisha mtoto kwenda shule ya umma hata kwa mwaka mmoja tu

Joyce joyce

JF-Expert Member
May 23, 2020
457
1,973
Hawa washule binafsi wanajifanya wajanja na kutaka kudhulumu wazazi kwa kigezo cha kuwa serikali imeongeza muda wa masaaa wa wanafunzi kusoma had saa 11 jioni hivyo kunonesha kama ndio sababu ya kutaka wazazi tulipe ada za muhula ambao watoto wetu hawakusoma, labda wamejotoa ufahamu kuwa hayo masaa yameongezwa kwa kuangalia shule za umma kwani shule zote za private zilikuwa zinafundisha hadi saa 11jioni na zingne had saa kumi na mbili jioni, shule za serikali ndizo zilizokuwa zinaishia saa nane mchana na saa tisa.

Hivyo wanatafuta tu uchochoro wa kututapeli, sasa dawa yao ni moja tu; wazazi kuwalipa hiyo hela ya kitapeli tuwape halafu tunahamishia watoto shule za umma za bure hizi za serikali hata Mwaka mmoja tu halafu kama vipi mtu ukikaa vizuri unamrudisha mtoto shule za private lakini shule nyingine kabisa.

Wamemwaga mboga sisi wazazi tutamwaga ugali ili kama ni kuumia tuumie wote.
 
Tatizo lenu wazazi mnaishi kwa kuridhisha jamii. Uwezo wako mtu ni mdogo; nyumba umepanga, ila unalazimisha kumpeleka mwanao shule za milioni na kuacha shule za bure, ili majirani wakuone unapenda wanao.

Kama kweli unampenda mwanao, tumia pesa yako vizuri maana elimu ya bure ipo na watu wanafaulu na kufikia malengo yao.

Ni bora umsomeshe mwanao shule ya bure na kumlipia tution kwa walimu wake ili wamsimamie vizuri. Hizo milioni unazomlipia Tusiime mjengee vyumba vya kupanga, nina imani mwanao akiwa mkubwa atakuja kukushukuru.

Kuliko kumlipia mamilioni huku hujamwachia asset yeyote.

Maana elimu ya Tanzania hailipi sana ukubwani kiasi cha kuiwekezea mamilioni. Huku wewe maisha unaunga unga
 
Tatizo lenu wazazi mnaishi kwa kuridhisha jamii.. uwezo wako mtu ni mdogo.. nyumba umepanga, ila unalazimisha kumpeleka mwanao shule za milioni na kuacha shule za bure.. ili majirani wakuone unapenda wanao..

Kama kweli unampenda mwanao.. tumia pesa yako vizuri maana elimu ya bure ipo.. na watu wanafaulu na kufikia malengo yao..

Ni bora umsomeshe mwanao shule ya bure.. na kumlipia tution kwa walimu wake ili wamsimamie vizuri.. hizo milioni unazomlipia tusiime mjengee vyumba vya kupanga.. nina imani mwanao akiwa mkubwa atakuja kukushukuru..

Kuliko kumlipia mamilioni.. huku hujamwachia asset yeyote

Maana elimu ya Tanzania hailipi sana ukubwani.. kiasi cha kuiwekezea mamilioni..
Huku wewe maisha unaunga unga
Nani alikuambia kuwa lazima uwe na Uwezo ndio usomeshe private? Tatizo humu mtachangia wengi wenye shule, unaweza ukakuta hata wewe ulisoma Kwa mama yako kuuza vitumbua tu, kusomesha Mtoto shule private hakuhusiani na kuwa Fulani akuone hayo ni mawazo Ya kitoto, zaid ya nusu ya watoto wanaosoma shule private ni kutoka kwa Wazazi wenye Uwezo Mdogo Lakini wanajitahid had watoto wanamaliza na kuja kuokoa jamiii na taifa.

Kama unataka kumuokoa Mtoto na kumsaidia unapaswa kupambana hata Kama huna Uwezo had amalize, leo hii kuajiriwa had serikalini ni lazima ufanye interview, hivyo waliosoma shule za bure huwa wanapata mateso Sana mno kwenye interview na hawaajiriki kwenye taasisi za kimataifa, swala la hili janga ni Jambo ambalo limemuathiri had Marekani mwenyewe kiuchumi, huwezi kulitumia kusema maneno hayo, utakuwa ni ujinga wewe kutumia hili janga kumulaumu Mzazi.

Labda uwe baba suruali asietimiza wajibu wake kwa watoto kinacholalamikiwa hapa ni wajanja kutaka kutumia Mwaya wa hiii hali kusawazisha ugumu wa hali zao.
 
Tatizo lenu wazazi mnaishi kwa kuridhisha jamii.. uwezo wako mtu ni mdogo.. nyumba umepanga, ila unalazimisha kumpeleka mwanao shule za milioni na kuacha shule za bure.. ili majirani wakuone unapenda wanao..

Kama kweli unampenda mwanao, tumia pesa yako vizuri maana elimu ya bure ipo.. na watu wanafaulu na kufikia malengo yao.

Ni bora umsomeshe mwanao shule ya bure.. na kumlipia tution kwa walimu wake ili wamsimamie vizuri.. hizo milioni unazomlipia tusiime mjengee vyumba vya kupanga.. nina imani mwanao akiwa mkubwa atakuja kukushukuru..

Kuliko kumlipia mamilioni.. huku hujamwachia asset yeyote

Maana elimu ya Tanzania hailipi sana ukubwani.. kiasi cha kuiwekezea mamilioni.

Huku wewe maisha unaunga unga
Aiseee wewe ni mtu mzima au Mtoto? Unapendekeza mzazi amuachie asset mwanae kuliko Elimu? Basi nimegundua kuwa wewe ni Mtoto mdogo, Kama ni mtu mzima natamka Kwa herufi kubwa kuwa wewe ni BAHATI MBAYA kichwani, yani umuachie Mtoto mali ili huko mbele wakianza kulogana na kuuana au kuja kufilisika akauza zote aanze kutangatanga ndio furaha?

Huyo mwanamke wako alipotea aiseee, ebu acha ujinga jitahid umpe Mtoto urithi wa Elimu bora, acha mambo ya kusema siwez, acha mambo ya kusema Sina Uwezo, acha kukimbilia vya bure, wapo waliofaulu vizur waliosoma shule za bure Lakini ni wachache mno, Siku hizi Mtoto wako akisoma private kuanzia chekechea had high school unakuwa umemaliza kumpa urithi
 
Aiseee wewe ni mtu mzima au Mtoto? Unapendekeza mzazi amuachie asset mwanae kuliko Elimu? Basi nimegundua kuwa wewe ni Mtoto mdogo, Kama ni mtu mzima natamka Kwa herufi kubwa kuwa wewe ni BAHATI MBAYA kichwani, yani umuachie Mtoto mali ili huko mbele wakianza kulogana na kuuana au kuja kufilisika akauza zote aanze kutangatanga ndio furaha? Huyo mwanamke wako alipotea aiseee, ebu acha ujinga jitahid umpe Mtoto urithi wa Elimu bora, acha mambo ya kusema siwez, acha mambo ya kusema Sina Uwezo, acha kukimbilia vya bure, wapo waliofaulu vizur waliosoma shule za bure Lakini ni wachache mno, Siku hizi Mtoto wako akisoma private kuanzia chekechea had high school unakuwa umemaliza kumpa urithi

Sipendagi kabisa kubishana hoja na wanawake.. sababu najua mnatumia hisia kufanya decisions.. huku wanaume tunatumia akili.. ndio maana kwenye uzi wangu umechagua vya kujibu, huku point za muhimu kama tutions umeziruka.

Kama unaamini kumsomesha mtoto private kuanzia chekechea hadi high school ni urithi mkubwa kuliko kumnunulia assets kama viwana au kujenga nyumba nyingi. Endelea na kuamini hivyo hivyo, time will tell.

Ishi maisha kutokana na kipato chako, kama kinaruhusu kumsomesha IST somesha sio dhambi. Hata kina dewji walisomesha IST na vyuo Marekani, ila bado wakapewa urithi wa kampuni yenye mtaji wa mabilioni.

Ila sio huna kitu, mshahara laki 5. Unalazimisha kusomesha Tusiime, unakopa kila siku, stress za madeni , nyumba umepanga, unalazimisha kusomesha tusiime badala ya kuwekeza, mwanao atakuja kukulaumu siku moja.
 
Sipendagi kabisa kubishana hoja na wanawake.. sababu najua mnatumia hisia kufanya decisions.. huku wanaume tunatumia akili, ndio maana kwenye uzi wangu umechagua vya kujibu, huku point za muhimu kama tutions umeziruka.

Kama unaamini kumsomesha mtoto private kuanzia chekechea hadi high school ni urithi mkubwa kuliko kumnunulia assets kama viwana au kujenga nyumba nyingi.. endelea na kuamini hivyo hivyo... time will tell
Sasa unakataaga nini na unakubali nini?

Kwa nini umsomeshe tuition Wakati yuko shule? Hiyo si itakuharibia ratiba? Huku unalipa tuition kumbe una hela? Pia hizo tuition hazijawahi saidia ni ujanja ujanja tu, na huwa zinaleta madhara watoto kuingia kwenye usherati na madawa Ya kulevya na pia huwa zinamchanganya Mtoto, huku anafundishwa hiki Shuleni nje anafundishwa kingne, ndio maaana baadhi ya shule binafsi Kama St. Francis mbeya Mwanafunzi haruhusiwi kusoma tuition hata Kwa kujificha au St. Marie's Mazinde Juu, acha vikra hizo wewe baba wajibika Kwa watoto acha uzembe wa kukimbilia vya bure, vya bure havina faida
 
Sipendagi kabisa kubishana hoja na wanawake.. sababu najua mnatumia hisia kufanya decisions.. huku wanaume tunatumia akili.. ndio maana kwenye uzi wangu umechagua vya kujibu.. huku point za muhimu kama tutions umeziruka.

Kama unaamini kumsomesha mtoto private kuanzia chekechea hadi high school ni urithi mkubwa kuliko kumnunulia assets kama viwana au kujenga nyumba nyingi.. endelea na kuamini hivyo hivyo... time will tell

Ishi maisha kutokana na kipato chako, kama kinaruhusu kumsomesha IST somesha sio dhambi.. hata kina dewji walisomesha IST na vyuo marekani.. ila bado wakapewa urithi wa kampuni yenye mtaji wa mabilioni

Ila sio huna kitu.. mshahara laki 5. Unalazimisha kusomesha tusiime.. unakopa kila siku, stress za madeni , nyumba umepanga, unalazimisha kusomesha tusiime badala ya kuwekeza.. mwanao atakuja kukulaumu siku moja
Mimi ninawajua walimu wa secondary wa shule binafsi wamemaliza Chuo kikuu kile Morogoro muma kile cha waislam wako secondary wanafundisha Lakini ukimsimamisha mbele huyo Mwalimu mwambie aongee kiingereza hata kuadhithia kitu Fulani hata Dk mbili hawez kuongea na akijaribu anaunga maneno had aibu nawajua watatu hawawez kuongea kiingereza ila wanafundisha secondary Ya bure ni majanga Sana
 
Lakini ukiangalia vzr hesabu ya siku za masomo kwa mwaka zimerudishwa pakepale Ili kufidia kutokana na corona, kwa mwaka likizo zilikuwa 4 ya mwez wa 4 siku 14 ya mwezi WA 6 siku 30 ya mwezi WA 9 siku 14 na mwezi WA 12 siku 30 Hivyo ukijumlisha kwa mwaka likizo ilikuwa jumla siku 88 sasa kutokana na corona watoto wamekaa nyumbani siku 100 hadi kufika hyo tar 29.

Kutokana na serikali imeongeza siku hadi mwez wa 12 tr 18 ndo kufunga shule hvyo km kutatokea kupungua so zaidi ya siku 6 kwahyo utaona hpo kwann private wanakadhia Ada yote sbb siku ni km zimebaki vilevile
 
Tatizo lenu wazazi mnaishi kwa kuridhisha jamii. Uwezo wako mtu ni mdogo; nyumba umepanga, ila unalazimisha kumpeleka mwanao shule za milioni na kuacha shule za bure, ili majirani wakuone unapenda wanao.

Kama kweli unampenda mwanao, tumia pesa yako vizuri maana elimu ya bure ipo na watu wanafaulu na kufikia malengo yao.

Ni bora umsomeshe mwanao shule ya bure na kumlipia tution kwa walimu wake ili wamsimamie vizuri. Hizo milioni unazomlipia Tusiime mjengee vyumba vya kupanga, nina imani mwanao akiwa mkubwa atakuja kukushukuru.

Kuliko kumlipia mamilioni huku hujamwachia asset yeyote.

Maana elimu ya Tanzania hailipi sana ukubwani kiasi cha kuiwekezea mamilioni. Huku wewe maisha unaunga unga
👏👏👏👏👏👏👏
 
Hivi inawezekana kumhamisha kutoka p[rivate kwenda serikalini?
Ndio utaratibu wa sasa ulivyo Mkuu tangu Mwaka Jana walisharekebisha Mtoto Wa shule ya private yoyote ile unamhamisha tu toka private kwenda za serikali Kama ulivyokuwa unamhamisha toka private kwenda private, Siku hizi utaratibu ndivyo ulivyo Mtoto anahama kwenda shule yoyote ile ndani Ya Tanzania
 
Ndio utaratibu wa sasa ulivyo Mkuu tangu Mwaka Jana walisharekebisha Mtoto Wa shule ya private yoyote ile unamhamisha tu toka private kwenda za serikali Kama ulivyokuwa unamhamisha toka private kwenda private, Siku hizi utaratibu ndivyo ulivyo Mtoto anahama kwenda shule yoyote ile ndani Ya Tanzania
Ahaaa sawasawa
 
Back
Top Bottom