DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,475
- 99,169
Na walimu pia inabidi wakate topic za miezi miwili wasifundishewazazi mnalia nn lakin ukipiga hesabu watoto wenu hawajsoma miez 2 tu haya katen hela ya miez 2
Tuition zina madhara???!!!!!Samahani,una level gani ya elimu au umesoma shule ya aina gani,wewe kama una elimu ya kuunga unga basi utakua mwalimu wa privateSasa unakataaga nini na unakubali nini?
Kwa nini umsomeshe tuition Wakati yuko shule? Hiyo si itakuharibia ratiba? Huku unalipa tuition kumbe una hela? Pia hizo tuition hazijawahi saidia ni ujanja ujanja tu, na huwa zinaleta madhara watoto kuingia kwenye usherati na madawa Ya kulevya na pia huwa zinamchanganya Mtoto, huku anafundishwa hiki Shuleni nje anafundishwa kingne, ndio maaana baadhi ya shule binafsi Kama St. Francis mbeya Mwanafunzi haruhusiwi kusoma tuition hata Kwa kujificha au St. Marie's Mazinde Juu, acha vikra hizo wewe baba wajibika Kwa watoto acha uzembe wa kukimbilia vya bure, vya bure havina faida
Haiwezekani huyo ni mataga hana kitu kichwani ni mweupe sanaHivi inawezekana kumhamisha kutoka private kwenda serikalini?
Huyo hawezi kuwa mwalimu wa private, angekuwa mwalimu wa private asingelalamikia ada kulipwa,Tuition zina madhara???!!!!!Samahani,una level gani ya elimu au umesoma shule ya aina gani,wewe kama una elimu ya kuunga unga basi utakua mwalimu wa private