Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Ebu fikilia, jamaa yangu kaibiwa tv yake, mwizi kakamatwa, baada ya kesi kumalizika huyo jamaa kahukumiwa miaka 6 jela, akitoka anunue tv ya huyu jamaa yangu,
swali ni hili,
-Kufungwa kwa huyu mwizi, jamaa yangu imemsaidia nini?
-akitoka jela pesa ya kununua hiyo tv atakuwa nayo?
-Huyu jamaa yangu akae miaka yote hiyo 6 akisubili kununuliwa tv? ni kwa nini mali za huyu mwizi zisinadiwe na pesa ikipatikana zinunue tv?
Mimi naona hii sheria haiko sawa,
swali ni hili,
-Kufungwa kwa huyu mwizi, jamaa yangu imemsaidia nini?
-akitoka jela pesa ya kununua hiyo tv atakuwa nayo?
-Huyu jamaa yangu akae miaka yote hiyo 6 akisubili kununuliwa tv? ni kwa nini mali za huyu mwizi zisinadiwe na pesa ikipatikana zinunue tv?
Mimi naona hii sheria haiko sawa,