AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,898
hivi kati ya ssm na hao unaowataja, ni nani wameiibia nchi na kujitajirisha. nani mwingine alishawahi kutawala nchi hii, and yet kumekuwa na wizi na ufisadi usio na kipimo. nakuonea huruma na ninakusamehe kwasababu najua pengine umri na akili yako bado ni ya utoto haujajua maisha na haujajua nchi hii ilivyotawaliwa tangu uhuru. Mungu akusamehe pia.Sikiliza binti CCM itapigiwa kura na watu wanaojua tulikotoka na tuendako. Wewe jifanye kuiponda lakini mwisho wa siku Nchi hawezi kuwa mikono ni mwa watu kwenye nia zao za kujitajirisha na kugawana Rasilimali zetu! Kamwe haitatokea hilo!!
