SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,974
- 75,056
Kilichojaa kichwani mwa chadema ni matope, siyo ubongo.
Kilichojaa kichwani kwa CCM ni usaha siyo ubongo.
Kilichojaa kichwani mwa chadema ni matope, siyo ubongo.
Unamkataba na mungu alie muumba kama atafika mwaka huoMagufuli hadi 2035. Maanpa chpadema hawaaminiki tenaaa
Siku zote nimekuwa na mawazo kama ya kwako.Wewe mvuta bangi hata usipoipigia CCM inashinda tu
Wazazi wako na mkeo wanaojua Nchi ilikotoka wataendelea kuipigia CCM. Wewe twanga viroba tu!!Siku zote nimekuwa na mawazo kama ya kwako.
Dogo swissme huwa anaandika kwanza halafu kazi ya kufikiria alichoandika anaifanya baadae.Wazazi wako na mkeo wanaojua Nchi ilikotoka wataendelea kuipigia CCM. Wewe twanga viroba tu!!
Kilichojaa kichwani mwa chadema ni matope, siyo ubongo.
Dogo swissme huwa anaandika kwanza halafu kazi ya kufikiria alichoandika anaifanya baadae.
Usitutukane sie watanzania kuwa wajinga acha hizoPamoja na mipango na mbinu nzuri za kisiasa zilizowafikisha hapo walipo CDM ila sasa naona wanaishiwa pumzi.
Hivi unawezaje kuota doto ya kumng'oa Rais Magufuli kama haya tu ya kawaida ameyafanya na umefuata.
1. Amezuia bunge live, mmekubari.
2. Amezuia mikutano halili ya kisiasa, pamoja na mipango yenu mfano UKUTA bado amewashinda.
3. Amenipitisha sheria mbovu za habari za kukubana bado amewashinda
Hiyo mipango ya kumng'oa mtaifanyaje kama hamuwezi hata kufanya mikutano, hamuwezi kuandika baya juu yake, hamuwezi kuonekana hata kwenye TV wala magazetini..
Nawashauri muanze na haya madogo aliyowashinda kuliko hili kubwa.
Alafu mngejua haya yote Magufuli anayafanya kwa lengo la kuua upinzani basi mngeanza kuwa serious.
Bahati mbaya mnafanya siasa katika taifa la watu wenye uelewa mdogo mno, poleni sana CDM.
View attachment 436647
Mbowe ni mfanyabiasharaMbowe ndio mchawi wa chadema...
anashauri mipango isiyo na tija.
kama kususia bunge maalum la katiba, na kususia vikao vya bunge huku ccm wakipitisha maslahi yao...
Sahihi kakaMagufuli hadi 2035. Maanpa chpadema hawaaminiki tenaaa
SahihiKilichojaa kichwani mwa chadema ni matope, siyo ubongo.
Afadhali yako wewe uliamua yaishe unasubiri hadi 2020,wenzako wanataka kuwehuka hukohaya mambo hayataki asira BWANA YULE MTUKUFU Mfalme ngoja ajikanyage 2020 hatufanyi kosa.
swissme
kama rambirambi ilivyo yeyuka huko bukoba.Afadhali yako wewe uliamua yaishe unasubiri hadi 2020,wenzako wanataka kuwehuka huko
si umesikia shule zimeanza kujengwa makamanda wenzako wanatoa povu hukoikama rambirambi ilivyo yeyuka huko bukoba.
swissme
shule za ccm watu wanalala nje na tunategemea kipindupindu kufika huko serikali imewadhulumu pesa za kuwasaidia Asante sana Mungu anawaona.si umesikia shule zimeanza kujengwa makamanda wenzako wanatoa povu hukoi