Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,819
- 8,884
Naona mnapenda kweli kujadili vitu hivi, kama ulifanyiwa si ni wewe na unyamamze kimya!!!!!!!!! Acheni kutuletea stori za chumbani kwenu
Sasa wewe unakuja huku kwenye mambo ya kikubwa kutafuta nini? Acha unafiki...maana ume-log in mpaka ukaingia....otherwise..usingeingia...si unaona wengine..tunapita pita kujifunza elimu dunia...ingawa hatu-comment...kama vipi nenda jukwa la siasa au Michezo...wengine hapa tunajifunza...