Me nadhani hili tuliache kwenye level ya family kuamua. Kuna kitu kinaitwa swinging nadhani tunakijuwa wengi. Kipo sana majuu na kwa Africa nina uhakika na South Africa. Kifupi ni kwamba kwa kuwa sometimes kuna kuchokana kimapenzi ndani ya ndoa so mimi na my wife wangu tunaenda kwenye hiyo swinging club naibua kidosho kwa ajili ya kusex nacho na wife naye anapick njemba wanaendelea. So kama kuna couple zinaenda swinging clubs sembuse saloon tu? Me sioni shida ya kuoshwa tempetations ziko nyingi sana it all depends unavyoicontrol mind yako.
duh!hiyo inatisha. ndoa inakuwa ya nini sasa?i think mkishafika hapo u better divorce kuliko kuwa na ndoa ya maonyesho tu. nakubaliana na wewe sana kuhusu ushauri na majibu ya thread hii.