Nakerwa na tabia ya akina dada wanao fanya kazi za kusugua nyuso za wanaume kwenye salone za kiume kuwa ombaomba wakati wote,imekuwa tabia ya akina dada hao kuzoea wateja kwa nguvu na kuwapachiki majina ya oh mpenzi mara shemeji na papo hapo kukupiga mzinga,balaa inakuwa pale ukimwambia huna ananuna kama vile wewe ndie jamaa yake,na ukizoea kwenda kwenye salone hiyo hiyo ba ukarogwa kutoa tip mara moja au mbili basi hapo umeshakuwa bwana wake ni mizinga kama kawa na ukilogwa kutoa namba yako ya simu umekwisha.Ushauri wangu ukienda salone na ukachangamukiwa basi tafadhali uchune kwani ukijirahisi ndo mwanzo wa kuwa makubwa
Haa haaa haaaa ! Labda ameandika alichokuta kimeandikwa huko! Maybe palikuwa pameandikwa 'Welcome salone' !lets say salon for today
Poleni sana wanaume kwanini msiwaambie mnakerwa na tabia hizo
lets say salon for today
Nakerwa na tabia ya akina dada wanao fanya kazi za kusugua nyuso za wanaume kwenye salone za kiume kuwa ombaomba wakati wote,imekuwa tabia ya akina dada hao kuzoea wateja kwa nguvu na kuwapachiki majina ya oh mpenzi mara shemeji na papo hapo kukupiga mzinga,balaa inakuwa pale ukimwambia huna ananuna kama vile wewe ndie jamaa yake,na ukizoea kwenda kwenye salone hiyo hiyo ba ukarogwa kutoa tip mara moja au mbili basi hapo umeshakuwa bwana wake ni mizinga kama kawa na ukilogwa kutoa namba yako ya simu umekwisha.Ushauri wangu ukienda salone na ukachangamukiwa basi tafadhali uchune kwani ukijirahisi ndo mwanzo wa kuwa makubwa
Mzee nashukuru sana...nitalifanyia kazi..Nahitaji huduma bora ...!!
Solution kunyolewa na masapu au kujinyoa!..poleni sana!
Hivi kweli kama huwachekei chekei hao mabinti wataanzia wapi kukubom?!..
nimebaki mshamba......mai waifu wangu ndo anani-scrub in case huduma hiyo inahitajika.......anani-massage pia huduma hiyo ikihitajika.......wanawake siku hizi hutongoza wanaume.....lets take care....!
Sidhani kama ni salon zote...Mbona ninayoenda mie sipigwi mizinga..na chenji za salon anayelipwa ni kinyozi, si dada wa ku scrub!
Tatizo la wadada kuchekea wanaume mbona lipo kila mahali... hata humu ndani kuna wengine wanachekeana humu!
hapo mimi nimecheka lol!!! (sijamchekea m'mme)
Unaona sasa, ushanchekea hivyo...wanipiga mzinga eeh?
Sidhani kama ni salon zote...Mbona ninayoenda mie sipigwi mizinga..na chenji za salon anayelipwa ni kinyozi, si dada wa ku scrub!
Tatizo la wadada kuchekea wanaume mbona lipo kila mahali... hata humu ndani kuna wengine wanachekeana humu!
nimebaki mshamba......mai waifu wangu ndo anani-scrub in case huduma hiyo inahitajika.......anani-massage pia huduma hiyo ikihitajika.......WANAWAKE SIKU HIZI HUTONGOZA WANAUME.....LETS TAKE CARE....!