Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Jamani wana MMU naombeni kuuliza hivi ni kwanini ukiweka picha yako kwenye Facebook lazima itasifiwa hata ikiwa mbaya vipi, binafsi nimejaribu kuweka picha niliyotoka hovyo kabisa, lakini nimekutana na Coments kama:-
*Waaaw!!!!! Nice pic
*Look gud!!!!!
*gorgeous
*Waaaw!!!!! Nice pic
*Look gud!!!!!
*gorgeous