Hizi ndo daldala za Zanzibar

kutoka msikiti wa madole mpaka kwa batashi lazima upitie mchambawima? halafu ni chafu mno, mara damu toka juu ya paa zizizojulikana za mnyama gani aliyepakiwa kwenye kipaa

Hakuna mnyama anayepakiwa kwenye kipaa yakheeeeee. Si ng'ombe wala nguruwe (astaghfirullah!). Na wala sisi hatuna wanyama pori kama huku kwenu bara.
 
Nahisi kuwepo wazi ni mjengo mzuri kwa
sababu ya joto la ZNZ na kukupa fursa ya
kuona mazingira ya nje.

Lakini pamoja na raha hizo, adha zake ni kujaza
kupindukia na nyengine kutoka mashambakupakia
samaki na hivyo kuwacha harufu ya shombo.
 
kutoka msikiti wa madole mpaka kwa batashi lazima upitie mchambawima? halafu ni chafu mno, mara damu toka juu ya paa zizizojulikana za mnyama gani aliyepakiwa kwenye kipaa

Mkuu ile ni damu ya samaki. Mia
 
Mmmmh,hata tangi bovu mbezi beach mbona zipo?zinafanya safari za goba ndo daladala zao nauli tsht 400.
 
sijui umetokea wapy na wewe watu wanazungumzia daladala we umechakachua mada,KUJIKWEZA tu.


Nadhani hujamwelewa mtoa mada mkuu,nilivyomwelewa mimi ni kuwa kama Zanzibar ni nchi ya kwanza Afrika kuwa na TV ya rangi inakuwaje mpaka leo wana usafiri wa aina hii?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom