figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Wanaita wao chai harage. Mia
naaam! na lengo hasa ni kujiepusha na "madunga dunga".......one!Mmmmmh! Humo abiria wanakaa kwa kutazamana!
naaam! na lengo hasa ni kujiepusha na "madunga dunga".......one!
Ndiyo mambo ya waswahili hayo. Daladala yenyewe imekaa kiubwabwa ubwabwa tu.kutoka msikiti wa madole mpaka kwa batashi lazima upitie mchambawima? halafu ni chafu mno, mara damu toka juu ya paa zizizojulikana za mnyama gani aliyepakiwa kwenye kipaa
TANGANYIKA hazipo hizo. mia mbili.
Ndiyo mambo ya waswahili hayo. Daladala yenyewe imekaa kiubwabwa ubwabwa tu.