10.Sekajembe guest house (majumbasita)
11.Mayfair....Kawe
12.Kunduchi bay resort...Africana
13.Kalembo...Buguruni
14.Mtedzi lodge....External
15.Marriotti......external.
Mji umevamiwa.
16. Ambiance au Corner bar -Sinza Africa sana.
17. Meeda - Sinza Mori
18. Kimboka by Night Club- Buguruni shell
19. Sewa Bar - Buguruni sokoni
Hivi vijiwe vipo juu sana kuliko hivyo mlivyo taja.
Mdau umenigusa. Na achilia mbali hizo ambazo serikali inaambuliwa angalau vijikodi vya hapa na pale (assumption-they dont evade tax). Kuna hizi ambazo ni guest bubu zilizojazana mikocheni, sinza, mbezi, kijitonyama na kinondoni ndo balaa kabisa, ukiiona ni nyumba ya kawaida tu lkn mafuska wanazijua na wanaambiana wenyewe kwa wenyewe. Ukiondoa hiyo kuna salon pia za wanawake zimeingia kwenye huu mchezo mchafu wa kuwaunganisha wake za watu na njemba mbalimbali hasa salon za sinza, mikocheni na kinondoni. Sijui tutajikwamua vipi na hili janga wadau?
Umeisahau Fine Travellers - Sinza Kijiweni
Duh!!!!!...kumbe Namnani wamo siku hizi.Niliishi hapo sana nikisubiri
shule initafutie nyumba during my teaching days in Dar-es-salaam.
Haikua danguro japokua walikua na filamu za ngono zinazoonekana katika
baadhi ya vyumba kila usiku.Naona wameamua mambo laivu siku hizi....Bongo mwisho aisee.
1.Namnani Sinza
2.Blue Rose - Sinza
3.Aspec Resort- Sinza
4.Mbezi Inn- Mbezi
5.Teepee Ubungo
6.Samaria Hotel- Makuburi
7.Transit Motel -Majumba Sita (opposite to airport)
8.PR Hotel- Uwanja wa Taifa
9.Kusini Guest house -Saba Saba
10.Sekajembe guest house (majumbasita)
11.Mayfair....Kawe
12.Kunduchi bay resort...Africana
13.Kalembo...Buguruni
14.Mtedzi lodge....External
15.Marriotti......external.
Mji umevamiwa.
Watu mmelala guest house nyingi hivi? Duh16. Ambiance au Corner bar -Sinza Africa sana.
17. Meeda - Sinza Mori
18. Kimboka by Night Club- Buguruni shell
19. Sewa Bar - Buguruni sokoni
Hivi vijiwe vipo juu sana kuliko hivyo mlivyo taja.
Hivi SUKA motel bado ipo active bongo? ilikuwa maeneo ya kimara mbele ya stop over kama sikosei
Duh! Mbona Sinza inatajwa mara kibao.....