Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,041
- 2,411
Yaani appointment letterBarua ipo ya ajira hiyo inasema Kila kitu?
Inaeleza mambo yote
Ukiona jinal lipo kwenye pdf pale be patient everything will be known to you😂😂
Yaani appointment letterBarua ipo ya ajira hiyo inasema Kila kitu?
Uje usome muongozo hukuBarua ipo ya ajira hiyo inasema Kila kitu?
😂😂😂😂aje ajue mshahara wake upoje atupe na vocha sasa sisi jobless promaxUje usome muongozo huku
Vipi wale Waliokuwa wanalipwa 45milioni kwa mwezi, ambao hayati kawapunguza Hadi 15milioni?Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo
Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema ni taasisi gani hiyo tujue na kufanya mkakati tuingie huko ..ukisema milioni 12 bila kutaja taasi unakuwa hujaelewekaNamuona tu hapa, kuna watu wapo serikalini wapo sehemu nzuri tu na wanavuta zaidi ya milioni 12
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamejiongezea posho na marupurupu maradufuVipi wale Waliokuwa wanalipwa 45milioni kwa mwezi, ambao hayati kawapunguza Hadi 15milioni?
Hahahaaaaje ajue mshahara wake upoje atupe na vocha sasa sisi jobless promax
Ngoja waje kukupa muongozoMwenye kujua viwango vya DAWASA
Umepata kazi?Naomba mnisaidie wadau ety TPA wameandika salary scale ni TPGS 1A ,hivi ni sawa na sh ngap?
Sijapata ,sema nipo kwenye ajira ya ualimu nikiwa na TGTS D,sasa nilipoona tangazo TPA nineomba sasa nataka kujua hapa nilipo na nilipo omba wap panaunafuUmepata kazi?
Kama umepata kazi TPA utafahamu tu kuwa mpole,kwenye apointment letter kila kitu kimeandikwaNaomba mnisaidie wadau ety TPA wameandika salary scale ni TPGS 1A ,hivi ni sawa na sh ngap?
Okay sawa sawa ngoja waje wakupe muongozoSijapata ,sema nipo kwenye ajira ya ualimu nikiwa na TGTS D,sasa nilipoona tangazo TPA nineomba sasa nataka kujua hapa nilipo na nilipo omba wap panaunafu
Operations Clerk C ni TPGS 2 ambayo ni 960k, sijafahamu baada ya increment wanalipwa kiasi gani kwa sasa, so hiyo TPGS 1 huenda ikawa chini kidogo ya hapo, yaan kati ya 800k na 900kNaomba mnisaidie wadau ety TPA wameandika salary scale ni TPGS 1A ,hivi ni sawa na sh ngap?
Upo sawa lkn ongeza laki 6 kwenye hiyo 960KOperations Clerk C ni TPGS 2 ambayo ni 960k, sijafahamu baada ya increment wanalipwa kiasi gani kwa sasa, so hiyo TPGS 1 huenda ikawa chini kidogo ya hapo, yaan kati ya 800k na 900k
Hiyo TGTS D ni kiasi gani?Sijapata ,sema nipo kwenye ajira ya ualimu nikiwa na TGTS D,sasa nilipoona tangazo TPA nineomba sasa nataka kujua hapa nilipo na nilipo omba wap panaunafu
Si haba, utajenga kabisaUpo sawa lkn ongeza laki 60 kwenye hiyo 960K
Note
Hapo ni bila over time