Hizi hapa hoja za Jaji wa Uganda aliyesimamia ukweli kule ICJ

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,663
48,440
Yeye hakuunga mkono upande wowote, alisimamia ukweli na kusema tatizo la pale Palestina ni la kihistoria na linapaswa kutatuliwa kidiplomasia, kasema kesi za kisiasa haziwezi kutatua lile tatizo.

Na ndio ukweli wenyewe maana hata hiyo ICJ ilishindwa kusema chochote zaidi ya kuomba Israel iwe makini kwenye kuhakikisha hapafanyiki mauaji ya kimbari.

Ifahamike kwamba Israel ingetaka kufanya mauaji ya kimbari, yaani wanapig carpet bombing ndani ya muda mfupi panakua shamba, uwezo huo wanao.

Magaidi ya dini yanajificha ndani ya akina mama haalfu yanalia lia kuhusu mauaji ya kimbari...
==================

Sebutinde is the first African woman to serve on the court​

69-year-old Julia Sebutinde is a distinguished judge from Uganda, serving her second term on the International Court of Justice (ICJ) since March 2012. She is the first African woman to hold this position.

She has a rich background in law, having graduated from Makerere University, obtained a diploma from the Law Development Centre in Kampala, and a Master of Laws from the University of Edinburgh, after which she worked in various legal capacities in Uganda, the UK, and Namibia.

Sebutinde's notable career includes serving as a judge in the Special Court for Sierra Leone, presiding over high-profile corruption inquiries in Uganda, and her election to the ICJ, reflecting her significant contributions to international justice.

“In my respectful dissenting opinion, the dispute between the State of Israel and the people of Palestine is essentially and historically a political one,” she wrote in her dissenting opinion. “Calling for a diplomatic or negotiated settlement, and for the implementation in good faith of all relevant Security Council resolutions by all parties concerned, to find a permanent solution whereby the Israeli and Palestinian peoples can peacefully coexist,” she wrote.

 
Yeye hakuunga mkono upande wowote, alisimamia ukweli na kusema tatizo la pale Palestina ni la kihistoria na linapaswa kutatuliwa kidiplomasia, kasema kesi za kisiasa haziwezi kutatua lile tatizo.
Na ndio ukweli wenyewe maana hata hiyo ICJ ilishindwa kusema chochote zaidi ya kuomba Israel iwe makini kwenye kuhakikisha hapafanyiki mauaji ya kimbari.
Ifahamike kwamba Israel ingetaka kufanya mauaji ya kimbari, yaani wanapig carpet bombing ndani ya muda mfupi panakua shamba, uwezo huo wanao.
Magaidi ya dini yanajificha ndani ya akina mama haalfu yanalia lia kuhusu mauaji ya kimbari...
==================

Sebutinde is the first African woman to serve on the court​

69-year-old Julia Sebutinde is a distinguished judge from Uganda, serving her second term on the International Court of Justice (ICJ) since March 2012. She is the first African woman to hold this position. She has a rich background in law, having graduated from Makerere University, obtained a diploma from the Law Development Centre in Kampala, and a Master of Laws from the University of Edinburgh, after which she worked in various legal capacities in Uganda, the UK, and Namibia. Sebutinde's notable career includes serving as a judge in the Special Court for Sierra Leone, presiding over high-profile corruption inquiries in Uganda, and her election to the ICJ, reflecting her significant contributions to international justice.

“In my respectful dissenting opinion, the dispute between the State of Israel and the people of Palestine is essentially and historically a political one,” she wrote in her dissenting opinion. “Calling for a diplomatic or negotiated settlement, and for the implementation in good faith of all relevant Security Council resolutions by all parties concerned, to find a permanent solution whereby the Israeli and Palestinian peoples can peacefully coexist,” she wrote.
Yule mwanamke mchawi. Vitoto vinavyouwawa anaona ni siasa.
 
Yeye hakuunga mkono upande wowote, alisimamia ukweli na kusema tatizo la pale Palestina ni la kihistoria na linapaswa kutatuliwa kidiplomasia, kasema kesi za kisiasa haziwezi kutatua lile tatizo.
Na ndio ukweli wenyewe maana hata hiyo ICJ ilishindwa kusema chochote zaidi ya kuomba Israel iwe makini kwenye kuhakikisha hapafanyiki mauaji ya kimbari.
Ifahamike kwamba Israel ingetaka kufanya mauaji ya kimbari, yaani wanapig carpet bombing ndani ya muda mfupi panakua shamba, uwezo huo wanao.
Magaidi ya dini yanajificha ndani ya akina mama haalfu yanalia lia kuhusu mauaji ya kimbari...
==================

Sebutinde is the first African woman to serve on the court​

69-year-old Julia Sebutinde is a distinguished judge from Uganda, serving her second term on the International Court of Justice (ICJ) since March 2012. She is the first African woman to hold this position. She has a rich background in law, having graduated from Makerere University, obtained a diploma from the Law Development Centre in Kampala, and a Master of Laws from the University of Edinburgh, after which she worked in various legal capacities in Uganda, the UK, and Namibia. Sebutinde's notable career includes serving as a judge in the Special Court for Sierra Leone, presiding over high-profile corruption inquiries in Uganda, and her election to the ICJ, reflecting her significant contributions to international justice.

“In my respectful dissenting opinion, the dispute between the State of Israel and the people of Palestine is essentially and historically a political one,” she wrote in her dissenting opinion. “Calling for a diplomatic or negotiated settlement, and for the implementation in good faith of all relevant Security Council resolutions by all parties concerned, to find a permanent solution whereby the Israeli and Palestinian peoples can peacefully coexist,” she wrote.
Huna ulichoandika huenda na wewe ni gaidi
 
Imani ya kidini ni imani moja ya hovyo sana kwa sababu humfanya muhusika asiweze kutumia busara katika kuamua chochote bali matakwa ya imani yake tu.

Mtu wa imani ya kidini hutaka kila mtu afikirie kama yeye na kwamba fikra zake ndizo zinapaswa kuwa benchmark ya namna wote wanavyopaswa kufikiri na matokeo yake ndio maana magaidi wanakuwepo ambao hulazimisha wote wawe wa imani kama yao.

Sasa kwa mantiki hiyo ndiyo maana wenye imani ya kidini wanaamua kumsakama huyo mama kwa kuwa na mtizamo unaopingana na wa kwao. Hizi dini za hapa duniani ni bangi moja mbaya sana na ndio maana mwenyezi Mungu hajasema popote kwamba zinaweza kumsaidia mtu kufika katika ufalme wake hivyo wanaoamini kwamba zinaweza zikawafikisha kwa Mungu ngoja wajidanganye.
 
Yeye hakuunga mkono upande wowote, alisimamia ukweli na kusema tatizo la pale Palestina ni la kihistoria na linapaswa kutatuliwa kidiplomasia, kasema kesi za kisiasa haziwezi kutatua lile tatizo.
Na ndio ukweli wenyewe maana hata hiyo ICJ ilishindwa kusema chochote zaidi ya kuomba Israel iwe makini kwenye kuhakikisha hapafanyiki mauaji ya kimbari.
Ifahamike kwamba Israel ingetaka kufanya mauaji ya kimbari, yaani wanapig carpet bombing ndani ya muda mfupi panakua shamba, uwezo huo wanao.
Magaidi ya dini yanajificha ndani ya akina mama haalfu yanalia lia kuhusu mauaji ya kimbari...
==================

Sebutinde is the first African woman to serve on the court​

69-year-old Julia Sebutinde is a distinguished judge from Uganda, serving her second term on the International Court of Justice (ICJ) since March 2012. She is the first African woman to hold this position. She has a rich background in law, having graduated from Makerere University, obtained a diploma from the Law Development Centre in Kampala, and a Master of Laws from the University of Edinburgh, after which she worked in various legal capacities in Uganda, the UK, and Namibia. Sebutinde's notable career includes serving as a judge in the Special Court for Sierra Leone, presiding over high-profile corruption inquiries in Uganda, and her election to the ICJ, reflecting her significant contributions to international justice.

“In my respectful dissenting opinion, the dispute between the State of Israel and the people of Palestine is essentially and historically a political one,” she wrote in her dissenting opinion. “Calling for a diplomatic or negotiated settlement, and for the implementation in good faith of all relevant Security Council resolutions by all parties concerned, to find a permanent solution whereby the Israeli and Palestinian peoples can peacefully coexist,” she wrote.

1. Maneno haya yana maana yoyote kwako?

" .. for the implementation in good faith of all relevant Security Council resolutions by all parties concerned, ..."

2. Yakiwa na umuhimu wowote, haya hapa je?

IMG_20231216_143204.jpg


3. Hadi hapo bado huuoni msimamo wa huyo jaji kuwahusu hao wajomba zako?
 
Yule alievamia wenzake Oct 7 na kuuwa raia Zaidi ya 1400 wakiwemo clemency na Joshua ana roho ya ibilisi
We bwege hao ni askari waliuliwa na Hamasi mpa mavazi yao tumeyaona ya kiaskari, Israel anauwa vitoto na wanawake hivi wewe unaona raha kuona jeshi linawakimbia magaidi kama mnavyo dai 😄 anaenda uwa innocent people.

Hivi we akilini mwako kuna boga
 
We bwege hao ni askari waliuliwa na Hamasi mpa mavazi yao tumeyaona ya kiaskari, Israel anauwa vitoto na wanawake hivi wewe unaona raha kuona jeshi linawakimbia magaidi kama mnavyo dai 😄 anaenda uwa innocent people.

Hivi we akilini mwako kuna boga
Umeandika utumbo gani huu?! Ndio matatizo ya kukariri Elimu ya madrasa, hata kuandika tu kiswahili cha kawaida ni changamoto
 
Huna ulichoandika huenda na wewe ni gaidi

Gaidi ni huyu aliyeamrisha haya
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Back
Top Bottom