ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Hizi habari za kila siku kusikia connection, connection ya kupata picha chafu hasa za watanzania na watu maarufu zinatujenga kidogo kidogo kuwa watumwa wa hizi mambo.
Sote tunajua watanzania sio wacheza picha chafu na hiyo tabia haikuwepo, Ila Sasa hata wale ambao walikuwa hawana utamaduni wa kuangalia porn Sasa hivi wanaangilia eti tu kwakuwa kasikia Kuna Ka usemi wanakatumia picha kuvuja , picha hazivuji zile Ni porn kama porn nyingine unazoona mtandaoni za kina Mandingo wasitumie sababu ya kuvuja c kweli, utakuta kila mtu anazitafuta , mfano Sasa hivi Ni idadi kubwa sana ya watanzania wameona porn za gwj, Amber rutty, makaaya fake, ngasa, jamaa wa cbe, Mariam biriani, abdu kiba feki, na yule binti na mjomba, Ni mamilioni wameziona,
Tusidanganyike ile Ni porn na hakuna picha kuvuja, kuangalia ile Ni sawa na kuingia tovuti ya porn. Kila wakati connection na humo humo ndo biashara ya kujiuza ya mtandao inafanyika tupuuze hayo
Sote tunajua watanzania sio wacheza picha chafu na hiyo tabia haikuwepo, Ila Sasa hata wale ambao walikuwa hawana utamaduni wa kuangalia porn Sasa hivi wanaangilia eti tu kwakuwa kasikia Kuna Ka usemi wanakatumia picha kuvuja , picha hazivuji zile Ni porn kama porn nyingine unazoona mtandaoni za kina Mandingo wasitumie sababu ya kuvuja c kweli, utakuta kila mtu anazitafuta , mfano Sasa hivi Ni idadi kubwa sana ya watanzania wameona porn za gwj, Amber rutty, makaaya fake, ngasa, jamaa wa cbe, Mariam biriani, abdu kiba feki, na yule binti na mjomba, Ni mamilioni wameziona,
Tusidanganyike ile Ni porn na hakuna picha kuvuja, kuangalia ile Ni sawa na kuingia tovuti ya porn. Kila wakati connection na humo humo ndo biashara ya kujiuza ya mtandao inafanyika tupuuze hayo