Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Kaandika SALMA nini?
Milioni tatu na laki nane=3,800,00/=:bange::bange::bange::bange::bange::A S 114::A S 114::A S 114:
halafu mizuzu inacheeeeeka!
halafu mizuzu inacheeeeeka!
Mbona hata Mwanakijiji kakosea. Hizi haziitwi cheki, zinaitwa hundi. Na hizi ni mfano tu wa hundi.
Ni yeye (WAMA) ndiye anatoa cheque....amewapiga 'changa la macho' hao wanaajiita 'Salma Kikwete Saccos'! All in all hii nchi ina vituko vingi sana....watu tunaowapa dhamana mara nyingi hawapo makini kabisa!