Nimelitafuta hili neno "cheki" kwenye kamusi yetu halimo. Ni tofauti kidogo na huo mfano wako. Tusonge mbele na mada yetu. Kosa kama lile sio Salma wala JK peke yao wanaweza wasiligundue. Vifijo, nderemo na shamrashamra zinazokuwa pale hazimpi nafasi mgeni rasmi kuliona hilo. Na wala halina madhara pande zote.
Si unaona hata wewe umekosea! Umeandika "Signaory" badala ya signatory.
Mawaziri Hawa Ghasia na Malima wapo pia kwa nyuma wanafurahia maigizo!
Jamani, huu ni mfano tu wa hundi. Sio hundi yenyewe ilookabidhiwa! Tunakomaa nalo hivi kweli? Kiuhasibu labda tuliite "Errors in amounts, such as recording one or more amounts incorrectly". Mifano hii ya hundi inaweza isiandikwe na wahasibu.WildCard not from you!
Kwamba "wala halina madhara"???? Mkuu week-end ilikuwa na nini mpaka usione hilo halina madhara??
Ni ujumbe gani mama Salma anautuma kwa jamii kwa kukabidhi hundi ambayo haieleweki??
Katika makosa ya kihasibu hili tutaliitaje??
Kama viongozi wetu wana wasaidizi waliochoka kiasi hiki ndio kusema Tanzania haina watu makini??
Hii ndo kibongo bongo mke wa muheshimiwa nae hayupo makini.
Kwa maneno ni shilingi milioni tatu na laki nane kule pembeni wamempiga changa la macho imeandikwa 3.800,00/= vitu vya kushangaza kama hivi utaviona bongo tu.
Kikosi cha intelenjisia na protocali sijui kimemdanganya mke wa rais?
Kwa hisani ya MJENGWA - Picha, Habari & Matangazo
Nafikiri huelewi watu wanachojadili hapa hawajadili cheki iliyopelekwa benki wanajadili kinachoonekana na umakini wa mtu mwenyewe na wasaidizi wake.Jamani, huu ni mfano tu wa hundi. Sio hundi yenyewe ilookabidhiwa! Tunakomaa nalo hivi kweli? Kiuhasibu labda tuliite "Errors in amounts, such as recording one or more amounts incorrectly". Mifano hii ya hundi inaweza isiandikwe na wahasibu.
Kosa la Mama yetu Salma ni kutoisoma kabla hiyo hundi mfano kabla ya kupiga picha. Hakuiandika yeye.nashukuru umekiri kwamba Mama Salma kikwete siyo makini na amekosea kama mimi nisivyo makini na nikagundua amekosea na wewe uliye makini ukaunga mkono hajakosea
Nafikiri huelewi watu wanachojadili hapa hawajadili cheki iliyopelekwa benki wanajadili kinachoonekana na umakini wa mtu mwenyewe na wasaidizi wake.
Kosa la Mama yetu Salma ni kutoisoma kabla hiyo hundi mfano kabla ya kupiga picha. Hakuiandika yeye.
Anayelikuza siyo JF ni yeye anayetafuta publicity bila kuwa makini na vitu kama hivi.Nakubali. Kwa nini linataka kukuzwa hivi? Kwa kuwa huyo ni Mama Salma? Kosa la namna ile wangapi tungeliligundua na kushangiliwa koote kule?