Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,475
- 78,705
duh....first lady katisha....
Ni yeye (WAMA) ndiye anatoa cheque....amewapiga 'changa la macho' hao wanaajiita 'Salma Kikwete Saccos'! All in all hii nchi ina vituko vingi sana....watu tunaowapa dhamana mara nyingi hawapo makini kabisa!
Swali la kizushi samahani sana wakuu!
Salma R. Kikwete; R stands for what?
Mbona hata Mwanakijiji kakosea. Hizi haziitwi cheki, zinaitwa hundi. Na hizi ni mfano tu wa hundi.
mkuu..... WAMA ndiyo wanamlipa Mama Salma Kikwete .... kwa hiyo mama anajitapeli mwenyewe kwani WAMA ni yake na Mama Salma Kikwete SACCOS ni yake ..... huyu ni mtu mmoja na pia hayupo makini
duh....first lady katisha....
Nimelitafuta hili neno "cheki" kwenye kamusi yetu halimo. Ni tofauti kidogo na huo mfano wako. Tusonge mbele na mada yetu. Kosa kama lile sio Salma wala JK peke yao wanaweza wasiligundue. Vifijo, nderemo na shamrashamra zinazokuwa pale hazimpi nafasi mgeni rasmi kuliona hilo. Na wala halina madhara pande zote.Mh WildC, nadhani Joseph akiitwa Yusuf inaleta maana kuliko kosa la kumwita Joseph kama Mary! maoni tu.
Ndivyo walivyo. Wanashindana vituko
Hahahaha lol!!!!Wamefanya kusudi cheki ibaunsi....akaunti haina hela
Nimelitafuta hili neno "cheki" kwenye kamusi yetu halimo. Ni tofauti kidogo na huo mfano wako. Tusonge mbele na mada yetu. Kosa kama lile sio Salma wala JK peke yao wanaweza wasiligundue. Vifijo, nderemo na shamrashamra zinazokuwa pale hazimpi nafasi mgeni rasmi kuliona hilo. Na wala halina madhara pande zote.
Si unaona hata wewe umekosea! Umeandika "Signaory" badala ya signatory.kumbuka .... yawezakuwa kwamba signatory wa WAMA ni Mama Salma na vile vile Signaory wa Mama Salma SACCOS pia ni mama Salama Kikwete ... a dummy cheque is always drafted from the leaf of a real cheque ......
mama salama amechemka