. Kila Waandishi wahabari wanapoitwa kwenye tukio lazima uone wakisaini bahasha za kaki na waandika majina, wanacholipwa wanakiita fedha ya mafuta na elfu 30,000 hadi laki tatu 300,000 kulingana na uzito wa habari na namna Mambo yanavyotakiwa yawe.
2. List wanayosaini waandishi hasa katika taasisi za umma na serikali haiwekwi kwenye kumbukumbu, fedha wanazolipwa uandikiwa au kuombwa kwa matumizi mengine. Nadhani hakuna fungu la mafuta ya waandishi wa habari.