Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,979
Nimefanya utafiti kuhusu namna waandishi wa habari wanavyouza weno wao kwa makundi ya watu wenye fedha na taasisi mbalimbali. Mtanisaidia kukosoa ila Hali ipo hivi kwa kifupi.
1. Kila Waandishi wahabari wanapoitwa kwenye tukio lazima uone wakisaini bahasha za kaki na waandika majina, wanacholipwa wanakiita fedha ya mafuta na elfu 30,000 hadi laki tatu 300,000 kulingana na uzito wa habari na namna Mambo yanavyotakiwa yawe.
2. List wanayosaini waandishi hasa katika taasisi za umma na serikali haiwekwi kwenye kumbukumbu, fedha wanazolipwa uandikiwa au kuombwa kwa matumizi mengine. Nadhani hakuna fungu la mafuta ya waandishi wa habari.
3. Kwa Sasa waandishi wengi wanatumika kimkakati aidha kulinda pale kiongozi anapolinda ajira au anapotaka aonekane amefanya kazi. Hi imepelekea taarifa za eneo flan kurushwa kwa pamoja wakati mmoja, Mfano tukio linatipotiwa kwenye habari na vyombo vyote ila ukiliangalia haikuwa hot news kwa siku husika.
4. Hii tabia inatoka kwenye sekta za umma na Sasa imehamia kwenye NGO na baadhi ya taasisi za kimataifa hasa pale wanapotaka wafadhili waone kazi wanayofanya au kushawishi wapate fedha zaidi.
Kabla ya kuweka picha za waandishi wakisaini katika baadhi ya maeneo hasa wale wa nje ya Dar napenda kujua hii pesa ya mafuta ni malipo halali au Ni takrima?
1. Kila Waandishi wahabari wanapoitwa kwenye tukio lazima uone wakisaini bahasha za kaki na waandika majina, wanacholipwa wanakiita fedha ya mafuta na elfu 30,000 hadi laki tatu 300,000 kulingana na uzito wa habari na namna Mambo yanavyotakiwa yawe.
2. List wanayosaini waandishi hasa katika taasisi za umma na serikali haiwekwi kwenye kumbukumbu, fedha wanazolipwa uandikiwa au kuombwa kwa matumizi mengine. Nadhani hakuna fungu la mafuta ya waandishi wa habari.
3. Kwa Sasa waandishi wengi wanatumika kimkakati aidha kulinda pale kiongozi anapolinda ajira au anapotaka aonekane amefanya kazi. Hi imepelekea taarifa za eneo flan kurushwa kwa pamoja wakati mmoja, Mfano tukio linatipotiwa kwenye habari na vyombo vyote ila ukiliangalia haikuwa hot news kwa siku husika.
4. Hii tabia inatoka kwenye sekta za umma na Sasa imehamia kwenye NGO na baadhi ya taasisi za kimataifa hasa pale wanapotaka wafadhili waone kazi wanayofanya au kushawishi wapate fedha zaidi.
Kabla ya kuweka picha za waandishi wakisaini katika baadhi ya maeneo hasa wale wa nje ya Dar napenda kujua hii pesa ya mafuta ni malipo halali au Ni takrima?