Hiyo Wizara ya Vijana itakuwa na tofauti gani na UVCCM?

Hiyo Wizara ya Vijana itakuwa na tofauti gani na UVCCM?

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
997
Reaction score
2,320
Sote tunajua shida ya nchi hii sio Wizara ...
Shida ya Nchi hii ni CCM
Tatizo kubwa nchi hii ni CCM Tu wala sio wizara..

Kwanini?
Kwasababu kwa CCM wao ni chama kwanza,
Utu/watu baadae...

Hiyo ndio slogan yao..
Kwa maana hiyo hiyo wizara itajazwa mavijana ya CCM Tu na ili kuhudumiwa itakupasa uwe mccm kwanza..
Kwahiyo naona hapa badala ya kutulizwa vijana tutegemee kejeli na dharau za UVCCM kutambia vijana wa vyama vingine..
Maridhiano which?
Maridhiano what?
Kwanini msifanye maridhiano kabla ya uchaguzi??
D9
Nitakuwepo
 
Penye udhia tunaangalia uwezekano wa kupenyeza Rupia.... Mbaya zaidi Rupia hizo sio zetu tunachukua huko huko kwenye kodi zenu...; Tunamuibia Khamisi kumlipa Jumanne
 
Huo ni mtazamo wako lakini wizara haitakuwa wizara ya UVCCM ila wizara ya vijana wote nchini ,ukijiweka katika mtazamo huu kila muda utaona kinachofanywa sio sahihi
 
Napendekeza tuanzishe chama cha umoja wa vijana ambacho kitakuwa hakifungamani na chama chochote cha siasa kiwe na lengo la kuwapambania vijana na hicho chama viongozi wawe wanadumu kwa miaka 3 akifanya vizuri tunamuongeza 3 na kwenye maridhiano kama vijana tulioumia zaidi hatutaki kuwakirishwa na chama chochote cha siasa tutataka kuona serikali ya umoja wa vijana inahusika
 
Ni upumbavu mwngn unakwenda kuanzishwa, huwezi kutatua tatizo kwa kutumia watu wale wale walioleta tatizo.
 
Naunga mkono hoja. Shida ya hii nchi ni hiki kikundi cha watu wachache na waliojimilikisha chama kinachoitwa ccm! Kwa hiyo dawa pekee ya kuikoa hii nchi kutoka kwenye majanga mbalimbali, ni kwa kuiondoa tu ccm na watu wake.

Hawa viumbe siyo wa kuwaamini kabisa! Hata waanzishe nini! Maslahi yatakayo tangulizwa ni ya kwao, halafu yale maslahi ya wananchi na Taifa siku zote huwekwa mwisho, au hata yasiwekwe kabisa.
 
Sote tunajua shida ya nchi hii sio Wizara ...
Shida ya Nchi hii ni CCM
Tatizo kubwa nchi hii ni CCM Tu wala sio wizara..

Kwanini?
Kwasababu kwa CCM wao ni chama kwanza,
Utu/watu baadae...

Hiyo ndio slogan yao..
Kwa maana hiyo hiyo wizara itajazwa mavijana ya CCM Tu na ili kuhudumiwa itakupasa uwe mccm kwanza..
Kwahiyo naona hapa badala ya kutulizwa vijana tutegemee kejeli na dharau za UVCCM kutambia vijana wa vyama vingine..
Maridhiano which?
Maridhiano what?
Kwanini msifanye maridhiano kabla ya uchaguzi??
D9
Nitakuwepo
Unawezaje kuitambua wizara batili?
 
Huo ni mtazamo wako lakini wizara haitakuwa wizara ya UVCCM ila wizara ya vijana wote nchini ,ukijiweka katika mtazamo huu kila muda utaona kinachofanywa sio sahihi
Tuna uzoefu na upuuzi wa ccm ndani ya nchi hii. Tunajua ni kwa kiwango gani ccm imejimilikisha fursa za serekali, na inafanya hivyo kuhakikisha ccm inaendelea kubaki madarakani kwa shuruti.
 
Napendekeza tuanzishe chama cha umoja wa vijana ambacho kitakuwa hakifungamani na chama chochote cha siasa kiwe na lengo la kuwapambania vijana na hicho chama viongozi wawe wanadumu kwa miaka 3 akifanya vizuri tunamuongeza 3 na kwenye maridhiano kama vijana tulioumia zaidi hatutaki kuwakirishwa na chama chochote cha siasa tutataka kuona serikali ya umoja wa vijana inahusika
Ccm hawawezi kukubali hilo, wanahakikisha kila sehemu wanakuwa na udhibiti ili waendekee kubaki madarakani. Kama wanapandikiza maAgent wao kwenye vyama vya upinzani, ndio wataacha huko kwa vijana ambao ni homa kwao?
 
Siku ya Vijana kitaifa ikageuzwa siku ya UVCCM. Wengine walipojaribu kukusanyika na kufanya yanayohusu siku hiyo walimwagiwa Polisi na vipigo juu.
 
Back
Top Bottom