wizara ya vijana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko ya Walimu wenye astashahada na baadaye kusoma Shahada kuambiwa ni Overqualified

    Sisi walimu tuliomaliza mafunzo ya ualimu ngazi ya Astashahada miaka iliyopita, baadaye tukaamua kujiendeleza hadi ngazi ya Shahada, tunaomba ufafanuzi kuhusu changamoto inayotukabili katika ajira. Tulishiriki usaili kwa kutumia vyeti vyetu vya Astashahada, lakini wakati wa upangaji wa ajira...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Waziri wa vijana ni propaganda ya maneno sio vitendo

    Hii wizara ya vijana ni kuchezea pesa na kuwahaada vijana tu kwa maneno sio vitendo. Maneno ni mengi sana kama alivyo yeye na yeye anauza maneno sio kuyatumia angeweza kutoboa kuliko kukubari na yeye kuwa muwajiri. Maneno yake ukimsikiliza unaweza kusema huyu ni tajiri kuzidi Mo na elon musk...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Abdul Nondo: Mikopo ya Wizara kuna ubabaishaji, nimeomba mkopo mwenyewe, wameandika tumeomba Watu 10

    SUALA LA MIKOPO KWA VIJANA CHINI YA WIZARA YA MAENDELEO YA VIJANA BADO NI CHANGAMOTO Ngome ya Vijana ACT Wazalendo tumeona inayoitwa orodha ya wanufaika wa maombi ya mkopo kupitia mfuko wa Maendeleo ya Vijana chini ya Wizara ya Maendeleo ya Vijana iliyotolewa tarehe 28 Aprili, 2026. Itakumbukwa...
  4. PLOII

    JamiiForums Tanzania Hii Wizara ya Vijana haina Tija;Vijana wanataka Ujuzi na Mitaji sio Wizara- Waziri ana kazi ya Kucheza ngoma kuliko kutoa Mitaji/Mikopo kwa Vijana

    Kumekucha wana JF Niende kwenye Mada kiufupi sana. Binafsi nimekuwa disappointed na hii Wizara. Na Moja ya Jambo la hovyo kabisa ni kusema Vijana watume Maombi kwenye E-mail address ya Wizara of which the email is not authenticated & secured. Kabla hata ya deadline email ilikuwa imejaa...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Abdul Nondo: Bilioni 28 za Matumizi mengine za Wizara inajumuisha posho, mafuta ya gari, chai na vitumbua n.k

    Utangulizi Ngome ya vijana ACT-Wazalendo kwa niaba ya vijana, tumefuatilia hotuba ya bajeti ya Mheshimiwa Waziri Joel Arthur Nanauka aliyoitoa jana tarehe 20 Aprili, 2026 kuhusu Mpango na Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Vijana kwa Mwaka 2026/2027. Katika ufuatiliaji wetu...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Vijana yaomba Tsh. Bilioni 35.9 kuimarisha Maendeleo ya Vijana 2026/27

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Dkt. Joel Nanauka leo Aprili 20, 2026 atawasilisha hotuba ya bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2026/2027 bungeni jijini Dodoma. Aidha, kabla ya bajeti hiyo kuwasilishwa, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, itawasilisha...
  7. kavulata

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Vijana imeundwa kimakosa na woga tu

    Baada ya sekeseke la Oct29 kuunda wizara ya vijana kulionekana kama sehemu ya majibu na tiba ya kilichotokea na kilichosababisha vijana wakubali kutumika. Hata hivyo, vijana ni nani na wako wapi?. Vijana ni wale wenye umri chini ya miaka 40 hivi. Vijana hawa wengi wao wako kwenye familia...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Vijana ni changa la macho kwa vijana

    Moja ya wizara za kwanza kabisa kuundwa mara baada ya Tanganyika kupata uhuru ni ya vijana, iiitwa "wizara ya utamaduni wa taifa na vijana" (ministry of national culture and youth). Waziri wa wizara hiyo aliitwa Leo Nang'wanda Sijaona akitokea huko huko kwa akina Nanauka. Lakini Leo Nang'wanda...
  9. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Joel Nanauka - Vijana hatutaki uwe Motivation Speaker

    Wanabodi, Kwanza nimpongeze huyu Kijana mwenzetu kwa kuteuliwa Waziri mara tu baada ya kupata Ubunge. Ushauri wangu hatutaki ukawe Motivation Speaker tunataka matokeo ya fursa za Ajira na akili iliyochangamka katika kuhakikisha Kila kijana wa Taifa anakuwa na Ajira yenye kipato cha kueleweka...
  10. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia anamtumia Nanauka kuwazima Gen-Z

    Joel Nanauka uwe makini sana, usije ukapoteza legacy uliyoitafuta kwa taabu na kwa mda mrefu kwa kutumiwa na huyu bibi kuficha uovu wake
  11. J

    JamiiForums Tanzania Wizara ya vijana lengo lake ni kuwaongezea nguvu chawa

    Salut kwenu great thinkers wa jukwaa hili la JF. Binafsi hii wizara mpya inayoitwa wizara ya vijana naona lengo lake ni kuwapa nguvu vijana wajinga kama Lucas Mwashambwa waendelee kusifu madudu yanayofanywa na serikali. Rai yangu kwa vijana wenzangu, tusikubali kabisa kutolewa kwenye relief na...
  12. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Hiyo Wizara ya Vijana itakuwa na tofauti gani na UVCCM?

    Sote tunajua shida ya nchi hii sio Wizara ... Shida ya Nchi hii ni CCM Tatizo kubwa nchi hii ni CCM Tu wala sio wizara.. Kwanini? Kwasababu kwa CCM wao ni chama kwanza, Utu/watu baadae... Hiyo ndio slogan yao.. Kwa maana hiyo hiyo wizara itajazwa mavijana ya CCM Tu na ili kuhudumiwa itakupasa...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tutakuwa na Wizara ya Vijana na Washauri wa Mambo ya Vijana ndani ya Ofisi ya Rais

    Rais Samia amesema tumeamua kuwa na wizara kamili badala ya kuwa na idara ndani ya wizara yenye mambo mengi, vile vile ninafikiria kuwa na washauri wa masuala ya vijana ndani ya ofisi ya rais.
Back
Top Bottom