Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 6,137
- 11,398
Baada ya hicho kibunda kuwekwa kama timu ya taifa itaweza kutwaa kombe la Chan kili nikiitazama hakuna namna tunaweza kushinda hilo kombe . Hivyo hakuna namna hii pesa itapatikana badala yake tuionbe itumike kwenye uwekezaji wa kuboresha timu ya taifa kama kuboresha benji la ufundi kupata mwalimu mwenye CV bora , kusaka vipaji na kuwapeleka kwenye academy n.k then tuje tutafute ubingwa kwenye 2040 huko