donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Nakumbuka tangu nikiwa sekondari, A-levo mpaka chuoni huwa kuna pesa ya tahadhari (caution money) ambayo tuliaminishwa hutumika pale endapo mwanafunzi anaweza akawa amecause damage kwenye property ya taasisi husika.
Swali ni kwamba je, endapo mwanafunzi amemaliza bila tatizo lolote lile si ni jukumu la uongozi wa taasisi husika kurudisha fedha ile?
Kwangu mimi binafsi kote nilipopitia sijawahi kurudishiwa fedha ile. Sijui kwa nyie wenzangu Wakuu.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali ni kwamba je, endapo mwanafunzi amemaliza bila tatizo lolote lile si ni jukumu la uongozi wa taasisi husika kurudisha fedha ile?
Kwangu mimi binafsi kote nilipopitia sijawahi kurudishiwa fedha ile. Sijui kwa nyie wenzangu Wakuu.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app