Museveni alipoa kabisa, he is not harrasing him anymoreZiara za Lisu hazina tofauti na Ziara za Bob Wine Nje ya Nchi zao
Nilitaka watanzania na Lisu wajifunze kwa Bob Wine ..tusije weka matumaini yasiyokuwepo
Muulize Maalim Seif
Moderator peleka hii jukwaa la kimataifa , sababu maudhui yake yanafanana na jukwaa hiloZiara za Lisu hazina tofauti na Ziara za Bob Wine Nje ya Nchi zao
Nilitaka watanzania na Lisu wajifunze kwa Bob Wine ..tusije weka matumaini yasiyokuwepo
Muulize Maalim Seif
Alifanya ziara za nchi gani na liniZiara za Lisu hazina tofauti na Ziara za Bob Wine Nje ya Nchi zao
Nilitaka watanzania na Lisu wajifunze kwa Bob Wine ..tusije weka matumaini yasiyokuwepo
Muulize Maalim Seif
Bob wine hakufanya ziara ndugu yangu, alienda kutibiwa na kurudi. Lakini kwakuwa haujui, ndio maana unaongea kwa kujifurahisha tu.Ziara za Lisu hazina tofauti na Ziara za Bob Wine Nje ya Nchi zao
Nilitaka watanzania na Lisu wajifunze kwa Bob Wine ..tusije weka matumaini yasiyokuwepo
Muulize Maalim Seif
Alikua anafanyiwa interview kama Lisu tu..na hatuoni muendelezoBob wine hakufanya ziara ndugu yangu, alienda kutibiwa na kurudi. Lakini kwakuwa haujui, ndio maana unaongea kwa kujifurahisha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bob wine hakufanya ziara ndugu yangu, alienda kutibiwa na kurudi. Lakini kwakuwa haujui, ndio maana unaongea kwa kujifurahisha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha zile safari binafsi sio ziara.Kwani ziara za Lisu ni za ofisi??
Alifanyiwa interview gani? Wakati alikuwa kwenye kampeni, na mambo ya siasa au harakati ameanza hata miaka mitatu hana. Na usimfananishe Bob wine na Lissu ni watu wawili tofauti kabisa.Alikua anafanyiwa interview kama Lisu tu..na hatuoni muendelezo
Bobi Wine atangaza kuwania urais UgandaAlifanyiwa interview gani? Wakati alikuwa kwenye kampeni, na mambo ya siasa au harakati ameanza hata miaka mitatu hana. Na usimfananishe Bob wine na Lissu ni watu wawili tofauti kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bobi Wine atangaza kuwania urais UgandaKwani ane anaenda kugombea Uraisi wa Uganda?
Bobi Wine atangaza kuwania urais UgandaKwani ane anaenda kugombea Uraisi wa Uganda?