Hivi Zanzibar inaongozwa kidini?

Hivi Zanzibar inaongozwa kidini?

Nothing can stop me ,mlivyo wazembe tutawatawala mpaka kieleweke
Aaah...! Kumbe ni nongwa tu inakusumbua !
Kule hawawezi kutangaza 'Yesu mungu' wakati wanajua ni uongo.
 
Usipoamini,mapanga shasha. Kutokujiamini
 
TUNAJUWANA IKO SIKU UKWELI UTADHIHIR HIVI VI THREAD VYEMU HUMU MNAZIDI KUWAAMSHA WALIOLALA MIONGONI MWETU
Kumbe ZNZ bado wamelala.

Amkeni basi wote tukombolewe kutoka mikononi mwa haya MACCM ...............!!
 
Kumbe ZNZ bado wamelala.

Amkeni basi wote tukombolewe kutoka mikononi mwa haya MACCM ...............!!
Ndugu una encourage watu wa uane! Kwani sisiemu imewekwa nani? Jenga tabia ya kuheshimu saduku la kura
 
Ndugu una encourage watu wa uane! Kwani sisiemu imewekwa nani? Jenga tabia ya kuheshimu saduku la kura
Wapi nime encourage watu wauwane .......... Please talk for yourself.

Talking about sanduku la kura .... Yah right. Free and Fair!!?
 
99% ya Wazanzibar ni Waislamu
wataiendeshaje kikiristo wakati ukristo hawaujui.
 
Wapi nime encourage watu wauwane .......... Please talk for yourself.

Talking about sanduku la kura .... Yah right. Free and Fair!!?
Kwanini mipaka iliyowekwa na wakoloni mnaiona kama imewekwa na Mungu? Tukiweka mipaka sisi wenyewe kwanini maswali mengi? Zanzibar ni nchi katika sehemu ya Tanzania!
 
Akili zako kama za Lukuvi, Mtapata tabu sana..
 
Ni tatizo kutokuwa na chogo. Ona majibu sasa.
Kiwanis chogo lako linakusaidia uwezo wa kufikir?
Kama ni hivyo mbona akili zako hazukupelekei kujua Muungano huu ni wakidhuluma
 
Alichosema ni sahihi wakujenge HESHIMA KUHESHIMU VISANDUKU VYA KURA NI NYINYI VIBAKA NAMBA MOJA WA KURA ZA WANANCHI
Ndugu una encourage watu wa uane! Kwani sisiemu imewekwa nani? Jenga tabia ya kuheshimu saduku la kura
 
REPUBLIC OF ZANZIBAR
IPO NJIANI ASILI INAJIREJEA SOON MEZENI WEMBE WATANGANYIKA MALIMBUKENI
Mbona ruksa kuota ndoto mchana, Zanzibar hatukugawiwa kwenye sinia ila tulimwa damu zetu kumwondoa mwarabu ndipo tukaitwa.
 
Nyinyi wakoloni weusi ni balaa mumegubikwa na CHIYO HUSDA NA ROHO MBAYA
Kwanini mipaka iliyowekwa na wakoloni mnaiona kama imewekwa na Mungu? Tukiweka mipaka sisi wenyewe kwanini maswali mengi? Zanzibar ni nchi katika sehemu ya Tanzania!
 
Back
Top Bottom